Lwiva
JF-Expert Member
- Apr 17, 2015
- 21,169
- 29,783
Hivi wakunya BRT yenu imeishia wapiKumbe hii SGR station ya Dar hua ndogo hivi.![]()
![]()
![]()
Enyewe Google maps inawa expose mbaya sana.
Next ni kupima kale ka airport kenu kadogo tuone vile kanatoshana compared to the mega JKIA.
View attachment 2541434
View attachment 2541436

toka JPM afariki ni kama brt yenu nayo imekufa kibudu ni miaka 3 sasa kimywa wakati wa jpm mlikuwa mnajitahidi kukimbizana na kasi yake 