Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fo2k1XAaYAASuR9
 
Kariakoo haiko CBD aliekwambia kko iko CBD ni nani??🤣🤣🤣

Hii hapa nairobi CBD haya utaniambia nn kingine 😆😆😆 2.2km sq View attachment 2541239View attachment 2541240









CBD dar 👇👇👇2.8km sq
View attachment 2541253
Nairobi CBD unatuonyesha commercial center pekee without parks, museum and railway station alafu Dar unaweka hadi golf course plus museum and recreational areas. Watu sio wajinga bana. 🤣 🤣 🤣 🤣 Angalia tena hizo screenshot zako uone nusu ya area unaita CBD in Dar ni kiwanja tupu.
 
Acheni upuuzi sasa 😂 you guys are being pettier day by day..
Btw sioni battery/source of power
Ficha ujinga wako wakati mwingine at least ubakize hata heshima kidogo ambayo huna anyways. DJ mixer za kisasa zinaweza kupata umeme toka kwa laptop ambayo tayari iko charged, bluethoot speakers karibu zote ni rechargable, bado ulitaka abebe generator au power supply toka power company to run those little electric devices? Alafu nyie ndio mnasema mna elimu kutushinda? Mna laana nyie watu sio bure.
 
Sasa ukitoa upper hill cBD na westland nairobi imebakia kitu gani hebu ww zungumza kama mwanaume 🤣🤣🤣🤣
Kilimani, Eastleigh, Parklands, Mombasa road area not forgetting the vast Eastlands yenye Dar haina jibu yake ni uswazi kushoto kulia, hadi raha, 😝 😝 🔥 🔥 😂 😂 😂 😂 ., uhali gani lakini? ni mda mrefu, ila naona bado mnatapatapa na vijisababu uchwara, jibu bado hamuna, vijisababu vya kujiliwaza tu😝😂😂😂😂, wacha niende zangu, nitag train za umeme zikianza kazi...,
 
Hii ni nn sasa 🤣🤣🤣🤣 nairobi ukitoa westalnd cbd na upperhill hakuna kitu kimebakia bro huo ndio ukweli
Ulifinywa penyewe, ebu soma hiyo response yako uchwara, hauna jibu, dogo tuende zetu tufanye biashara, hapa hauna lako isipokua porojo na kulazimisha fikra na hisia zako😂😂😂😂, njoo huku njee tuendelee kutengeneza hela ndefu, hapa ulishindwa kabisaaa 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
PICHA MUHIMU KWA AJILI YA REJEA 🤣

View attachment 2541441
Picha ya mbali sana kujiliwaza, Nje ya hapa hamna kitu Dar is slum..,
1678260364753.jpeg

1678260581768.jpeg

Sasa linganisha na hii picha ya sehemu ndogo ya Nairobi CBD(Kenyatta Avenue stretch pekee) na pia picha imegusa sehemu ya upperHill na kule nyuma kabisa naona Kilimani, hakuna Westlands, Parklands, Eastleigh na Mombasa road areas or even eastlands.., Dar ni hovyo sana!!! picha haidanganyi, zoea ukweli
1678260446954.jpeg
 
Dar es Salaam kazi yake iliisha kitambo sana.., jiji la CBD moja tu..., sasa ni hadithi za alinacha na wishful thinking, na kujiliwaza tu humu..., Nairobi imeizidi Dar tena kwa mbali sana...,
1678260924012.png

1678260809316.png

1678260859937.png

1678260895063.png
 
Mombasa road Ina HQ ya Airtel Kenya, Isuzu East Africa, Nissan Kenya, Panari Hotel, Ole Sereni Hotel n.k na hauiesabu kuwa CBD. Wacha umbwakni.
Acha ujinga wewe, sikua nazungumzia barabara, na huku pia kuna Nyerere road ina HQ ya makampuni mengi kuzidi hata hayo.

Narudia! Nilikua siongelei barabara!
 
Back
Top Bottom