On serious note,3/4 ?
👇👇👇👇Kudos to Kwathanze Girls for winning Africa High schools volleyball championship… sasa wait for the Bongo haters to say how volleyball is not a sport unless it’s a Bongo school winning… Wajinga sana..
KDF hoyeeee
🤣🤣🤣🤣🤣🤣so pesa za covid zote zimepigwa na zote zilikua za mkopo alooo hii nchi aloilaani anaungua na moto sahii
Yani mpaka vinyoleo vimesisimka 🤣🤣🤣 yaani kenya imekwisha kaaaaahNdio maana wanaitwa nyang'au 😂😂😂
Halafu imejengwa na kampuni ya kitanzania kwa hela za ndani.Tofauti ya Kimara-Kibaha high way na Thika jua kali type road ni quality, pia BRT lanes. Angalia ubora na uzuri wa hii highway hadi raha, kama mbele mwananguView attachment 2537007View attachment 2537008
Wewe ni mtu wa remitansi toka Tanzania sijui huku wewe unafanya housekeeping kwenye hoteli zetu za kitalii.Watu wanapiga hela wewe uko hapo unashabikia upuziata mimi im sourcing dollars in tanzania but do you think im getting them for free
Absa wamemfukuza mkunya na kumleta CEO Mpya kutoka Tzn baada ya kuwa failure 🤣🤣🤣
The yellow lines tell the class of the road, not the quality. Tumia akili.A current location ✨. All way from Dar
View attachment 2537335
Hizo mistari ya njano unaambiwa ni barabara kuu. Afu hawa wajinga wa kaskazini wanasema wana barabara nyingi kutuzidi
View attachment 2537349
