NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
Kampuni 524 kuwekeza $1.7B, unaitegemea nini?, Wastani Kila kampuni mtaji wake ni $5000
![]()










Duh.Kampuni 524 kuwekeza $1.7B, unaitegemea nini?, Wastani Kila kampuni mtaji wake ni $5000
![]()










Duh.Na hzi kampumi utakuta hata zishafilisika na hazipo 🤣🤣🤣🤣Kampuni 524 kuwekeza $1.7B, unaitegemea nini?, Wastani Kila kampuni mtaji wake ni $5000
![]()
Kenyans: Our GDP is greater than Ugandan and Tanzanian combined
Reality: 👇
Cha ajabu hizo hela walizopewa zote zitaenda Tanzania na Uganda kununua unga, mahindi, mchele, vitunguu etc. GDP uchwara
Hii nchi since independence wanaongelea njaa tuu miaka nenda rudi ni njaa njaa njaa, unga unga unga.Pale mshiko unapokuwa umeshawasili. Mda wetu sasa watanzania kuvuna hizi fedha walizopewa msaada
Pale mshiko unapokuwa umeshawasili. Mda wetu sasa watanzania kuvuna hizi fedha walizopewa msaada
Tanzania ni mabibi zetu, lazima waturudishie pesa ya kununa mahindi yao
Ni sawa unajua kwann imejengwa 2008 and now ni 2023 unataka kunambia thamani ya kujenga meli 2008 ni sawa na kujenga leo alaf ilikua ni bid na nyinyi mukashinda kwa bei ya chini kuliko wengine sasa ulitaka tuwanyimie 🤣🤣🤣 sisi hatuna roho mbaya kama zenu wala hatuna wivu na kenya
Hakuna pesa mutarudisha hapo kwanza hio repair yake tu mutajuta nakwambia 🤣🤣🤣 nyinyi sindio mumetoa bei ya chini kabisa sasa tunasubiri baada ya 6monthsTanzania ni mabibi zetu, lazima waturudishie pesa ya kununa mahindi yao
ona aibu hii inayowakumba na ukiwaambia ukweli wanakasirika na matusi juu🤣🤣🤣 dunia ya leo utamdanganya nani kwa source za kupikapika ovyo tu