Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna mwaka fulani (2014 or so) vijana wa kiganda walikuwa wanasafiri kutoka Kampala Uganda kwenda Dar es Salaam kupitia Jiji la Mwanza. Walipifika Mwanza wakadhani wamefika Dar maana kwa maelezo yao waliona Jiji la Mwanza ni well developed kuliko Kampala, wakaambiwa bado hawajagika dar wakabaki midomo wazi. Sijui walipofika Dar walishangaa kwa kiasi gani.
Ni kweli huwa wanaishangaa sana Mwanza.
 
Hivi huu ni mto gani mkuu? Yaani Tanzania kwa mito mikubwa kwa kweli tumebarikiwa sana [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Jina la mto simfahamu ila najua Hilo eneo ni korofi ndio maeneo ambayo hata reli ilikuwa inasombwa sana huko mpakani mwa Morogoro na Dodoma..

Tanzania Ina mito Mingi mno boss,yaani Bado kazi kubwa.
Mkoa wa Rukwa Tarura wanajenga Barajah la Bil.5 kwenye mto Kalambo ni zaidi ya mita 50.
 
Prove then 🤣🤣🤣🤣 maneno yanasaidia nn??
Mbishi sana wewe.

Moscow
15927702-moscow-cityscape-with-monorail-train-russia-east-europe.jpg


Dortmund

h-bahn1.jpg


Hadi Nigeria wanayo
Ongoing_rivers_mono_rail_project.jpg
 
Jina la mto simfahamu ila najua Hilo eneo ni korofi ndio maeneo ambayo hata reli ilikuwa inasombwa sana huko mpakani mwa Morogoro na Dodoma..

Tanzania Ina mito Mingi mno boss,yaani Bado kazi kubwa.
Mkoa wa Rukwa Tarura wanajenga Barajah la Bil.5 kwenye mto Kalambo ni zaidi ya mita 50.
Au ni ule mto mkondoa? Maana ulikuwa ukisomba sana madaraja ya reli. Yaani hii nchi ni kubwa bado kuna daraja lingine linajengwa Ruvuma kwa bilioni 5,na ni mto tusioujua,tukisema tuhesabu mito mikubwa na midogo hatumalizi leo.
 
Au ni ule mto mkondoa? Maana ulikuwa ukisomba sana madaraja ya reli. Yaani hii nchi ni kubwa bado kuna daraja lingine linajengwa Ruvuma kwa bilioni 5,na ni mto tusioujua,tukisema tuhesabu mito mikubwa na midogo hatumalizi leo.
Sorry ni Rukwa na siyo Ruvuma.
 
GDP per capita bado itakua double yenu na uchumi wetu bado utakua mkubwa by $35b+. Na hizi ni predictions tu which may never come to pass. What makes you think Kenya wont change leadership?
View attachment 2526815
View attachment 2526814
Miradi mingi ya kimkakati itakuwa imekamilika kwa kiasi kikubwa sgr, jnhpp, eacop na irrigation dams unajua hii miradi itaongeza tija kwenye uchumi kwa kiasi gani? At least we Tanzanians have something to hope for in the next 5 years what about you Kenyans?
 
Miradi mingi ya kimkakati itakuwa imekamilika kwa kiasi kikubwa sgr, jnhpp, eacop na irrigation dams unajua hii miradi itaongeza tija kwenye uchumi kwa kiasi gani? At least we Tanzanians have something to hope for in the next 5 years what about you Kenyans?
You must be dumb if you think Tz is the only country with future uncompleted major infrastructure projects. I can't start to name Kenya's projects here, they're too many
 
Back
Top Bottom