Kazi ya serikali sio kulisha watu bali ni kujenga miundombinu wezeshi kuwarahisishia wananchi kuzalisha chakula. Tulisikia hapa hadithi za sijui Galana kalalu sijui mabwawa mwisho wa siku serikali imesema haina hela ya kujenga huo mradi despite GDP kuwa kubwa.who said the goverment aint doing so?? do you think feeding 6m people plus there cattle is a walk inthe park? concidering our sourc of goverment revenue is heavily dependant on tax since we dont have minerals and such
Swali ukubwa wa GDP unasaidia nini kwa mwananchi mmoja mmoja?