Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwann sio JKIA 🤣🤣🤣🤣🤣 dunia ishabadilika badilikeni na nyinyi hakuna kitu mutakaa mukiingopa kwa kizazi hichi ambacho kila mtu ni mjuaji

Yani mshazoea kuona watalii wenu wakitua kwanza JKIA hadi wakija direct mnauliza kumeendaje?! 😂😂 Bongolala, hata South Sudan hupokea flights kutoka nje. Swali tunauliza hapa ni kwamba mabati rolling mills yenu hupokea passengers ngapi kwa mwaka ikilinganishwa na viwanja vingine
 
Beauty and modernity are subjective words. It can be beautiful and morden in your eyes but to another person, it is just another ordinary airport.

Figures, on the other hand, are accurate data compiled over a certain period of time and represent th actual thing on the ground. Leta figures baba, wacha kujiliwaza with flowery words
Hahaha, therefore in your vocabularies there are no words like; Best airport, Biggest Airport, Beautiful Airport, Most modern and High tech?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hahaha, therefore in your vocabularies there are no words like; Best airport, Biggest Airport, Beautiful Airport, Most modern and High tech?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
I said they are subjective words. Unawezapendezwa na mwanamke fulani lakini kwa macho ya mtu mwingine, haoni uzuri wowote kwa huyo mwanamke. JNIA might be the best airport in your eye but to another person ni airport ya kawaida sana
 
Can you define high-tech in this context and what makes it so?

Secondly, JKIA is the seventh busiest airport in Africa and the best in customer service in the continent. Where does your mabati rolling mills rank in the continent with all the flowery words you've used to describe it?
To be busy doesn't indicate anything to do with government efforts on services delivery improvement. Toilets, Passengers launges and other areas are in sorry conditions despite of high numbers of passengers.

It is only a stupid person would celebrate to have big number of customers who can't handle them correctly, shame on you.
 
To be busy doesn't indicate anything to do with government efforts on services delivery improvement. Toilets, Passengers launges and other areas are in sorry conditions despite of high numbers of passengers.

It is only a stupid person would celebrate to have big number of customers who can't handle them correctly, shame on you.
And why are these passengers still choosing to use JKIA and not your mabati rolling mills if JKIA is in such a bad state! Why aren't they flocking to your airport then to spruce up its dwindling passenger numbers?

Kama kitu nawapendea watanzania ni kwamba wanajua kujiliwaza na kujipa matumaini pasipo na matumaini!
 
Nimeangalia hiyo video na sijasikia mahali hao watu wanataja jina ya jeshi la Kenya.

The second video, I thought you were going to show me a video of your army battling the rebels. Mimi nimeona tu picha ya watu wakichukua selfies
Sikiliza vizuri kuanzia dakika 1:35[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Some of these slums are way better than your uswazi hovels that cover your entire city. Take a look at Kariobangi for instance and compare with your Swahili uswazi hovels

Kariobangi slum View attachment 2509306View attachment 2509307View attachment 2509309

Now compare with your disorganized uswazi sprawls you call middle class areas View attachment 2509313View attachment 2509314View attachment 2509315View attachment 2509316View attachment 2509317View attachment 2509319
Picha za juu za Kenya umeonyesha Barbara, tena umeweka picha zenye "very close view" Hadi Dereva katika hizo gari anaweza kuonekana.

Hizo za chini ambazo unadai ni Tanzania, huwezi kujua Kama hizo ni nyumba, gari au miti, unaogopa kitu gani kuweka picha zenye "close views" ili tujionee hata Kama ni gari linapita Kama zinavyoonekana gari za hapo Kenya?[emoji23][emoji23][emoji23]
 
50,000 daily on expressway nikama hizi gari ni za watanzania [emoji23][emoji23]

The best 007 tuusan
Screenshot_20230207-151046_Chrome.jpg
 
And why are these passengers still choosing to use JKIA and not your mabati rolling mills if JKIA is in such a bad state! Why aren't they flocking to your airport then to spruce up its dwindling passenger numbers?

Kama kitu nawapendea watanzania ni kwamba wanajua kujiliwaza na kujipa matumaini pasipo na matumaini!
Because of easy connectivity, for many years KQ has been the only Airline in EAC, and the fact that Nairobi has many UN and International companies offices, they have no other choices, but JKIA can't even be compared with JNIA in any other aspect apart from big number of passengers, the situation is slowly changing because ATCL is fully functional
 
Back
Top Bottom