Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu mkuu mkuu,nimekuita mwisho nakushauri tu katafute ilani ya CCM 2015.Pia ukiweza tafuta hotuba za JK 2013 Hadi 2015 kuhusu SGR labda ambalo halikuongekewa na issue ya Umeme tu.
Mzee unaniambia nitafute wakati mimi ni mmoja wa waandishi. Hebu acheni basi mawazo ya kitoto. Kuweni basi kiakili.
Wacha ujinga, hotuba bora kabisa ya rais hapa Tz ukiacha ya Nyerere ni ile iliyotolewa na JPM November 20 mwaka 2015, akihutubia bunge la 11. Mzee aliongea mambo ambayo yalinibadilisha akili na kuamini kwamba huyu atatuvusha.

Jamaa aliongea vitu ambavyo alikuja kuvifanya kiuhalisia, kumbuka kwamba sikumpigia kura 2015 kwa kudhani yeye pia ni kama kina JK wanaoongea vitu ambavyo hawawezi kuvitenda, JPM aliongelea kila lililokuwepo kwenye manifesto na alililitimiza kwa vitendo, hao kina JK walikuwa wanaongea ndoto ambazo walishindwa kuzitekeleza daima, nyie watu weusi unafki unawasumbua sn na ndio maana mpk leo maendeleo yamekuwa ni ndoto kwa unafki wenu.
 
20230130_102208.jpg
 
USD 150m sports arena coming up in Zanzibar. Watajua hawajui.

 
The Place I’m referring sales it for 10 Usd, ie 23320 Tsh which can Buy 3 Kg of Beef in Tanzania. Kama Umewahi elewa utani wa hivi karibuni kuhusu Early Lunch ya Member mmoja kutoka Nchi Jirani Kaskazini utarelate huo utani.
Ok, are they locally sourced.I guess i missed that memo ya utani ama ni ya ile sini ya steel
 
Back
Top Bottom