Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

EACOP imemtia hasira aweki tena emoji maamaeee
SGR mlianza kwa mbwewe April 2017, sasa mnaingia mwaka wa sita hamjapanda train ya umeme! nyambaff, wengi mtakua mshakufa kabla ya mradi kukamilika, bladfwakin😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
 
DSM they don't know 👇
tuishi.tanzania-20230123-0003.jpg
tuishi.tanzania-20230123-0005.jpg
Dodoma itakua ya hivi.. barabara pana, majengo yenye space kubwa+greenish
 
Najua unajiliwaza tu na unajua SGR yetu ni ndefu kuliko zote Afrika so it must take long time to accomplish.
Naongelea kipande kidogo kimewachukua miaka tano, sasa mnaingia wa sita, wacha kujitoa ufahamu mjukuu, mko hovyo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😝 😝 😝 ...,
 
Back
Top Bottom