The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
EACOP imemtia hasira aweki tena emoji maamaeee"kakubali" nini kilaza?...,hakuna popote mnaenda..,











EACOP imemtia hasira aweki tena emoji maamaeee"kakubali" nini kilaza?...,hakuna popote mnaenda..,











Yap #TuishiTanzania wanafanya kazi nzuriHawa tuishi wajengewe sanamu.
SGR mlianza kwa mbwewe April 2017, sasa mnaingia mwaka wa sita hamjapanda train ya umeme! nyambaff, wengi mtakua mshakufa kabla ya mradi kukamilika, bladfwakin😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂EACOP imemtia hasira aweki tena emoji maamaeee![]()
Hapa wafanye jambo, ardhi inaliwa na backwash and swash of the ocean currents hii


Hivi ni nani hawaYap #TuishiTanzania wanafanya kazi nzuri
Mana kuna mpk number plate za gari nmeona zimeandikwa hii nembo ya tuishi.Yap #TuishiTanzania wanafanya kazi nzuri
Najua unajiliwaza tu na unajua SGR yetu ni ndefu kuliko zote Afrika so it must take long time to accomplish.SGR mlianza kwa mbwewe April 2017, sasa mnaingia mwaka wa sita hamjapanda train ya umeme! nyambaff, wengi mtakua mshakufa kabla ya mradi kukamilika, bladfwakin![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Sijajua hawa jamaa ni akina nani nimeona tu account yao InstagramHivi ni nani hawa
Mambo yote ya anasa hatushikiki, yn sisi ndiyo kisima cha burudani thus y raia kutoka nchi maskini kama Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia n.k wakija Bongo hawataki kurudi kwao.Sioni Tanzania ikipata mpinzani Kwenye muziki ukanda huu.
Watanzania elimu ilitusaidia sn, nakuambia tuishi watafika huko alafu watawashangaza sn watu humu.nimepita pale DODOMA jana wakati nakuja hapa kondoa, DODOMA imejengwa bhana.. kuna upande mmoja karibu na mji wa serikali huo mtaa kila nyumba Ina bati la kijani yo DODOMA inapendeza haswaa
Mambo ya zamani sn haya mkuu.Mombasa City
View attachment 2492632
nimepita pale DODOMA jana wakati nakuja hapa kondoa, DODOMA imejengwa bhana.. kuna upande mmoja karibu na mji wa serikali huo mtaa kila nyumba Ina bati la kijani yo DODOMA inapendeza haswaa
Naongelea kipande kidogo kimewachukua miaka tano, sasa mnaingia wa sita, wacha kujitoa ufahamu mjukuu, mko hovyo 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😝 😝 😝 ...,Najua unajiliwaza tu na unajua SGR yetu ni ndefu kuliko zote Afrika so it must take long time to accomplish.
Mm pia niliwafuatilia insta na nmewa follow, ila wana jambo lao, tutajua tuSijajua hawa jamaa ni akina nani nimeona tu account yao Instagram









