Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dsm
d994ba51fa308659e7982e1429b8dde4.jpg
ddeb40cfb7f64481dd52282fe543607b.jpg
cc3ce3f7eac840e57a8ea6751ae2e62c.jpg
8bb6031c297793e0fc526f1f4a1b8a5f.jpg
76b8b4c66baed3566d6712704f13f759.jpg
50839d32395a6cd4b55d187a019c7001.jpg
 
kibaka mkabaji....nilijua umekufa kumbe bado upo....,,,yaani unazivizia wi fi kwa city center hadi time hii kweli wewe ni chokoraa wadunia



chokoraa wa uswazini una mambo kweli. .....umepata chakula ama nikutumie marupurupu kuokoa nafsi yako....
 
basi niwie radhi manzi wangu wa kimombasani...mtoto mzuri wa kike toka pwani ya kenya.


Jipeleleze kisha ujiulize ,zitambue zako dosari mbona kila mtu hapa anakukemea?? bila shaka una matatizo ya akili sijamuona mtanzania limbukeni kama wewe. Una bahati kama ya baada ya swalaa siku ya ijumaa sipo karibu nawe ila siku moja bahati yangu itakua kubwa kama ya baada ya swalaa siku ya Idd utaona siku mrefu mwanaume.
 
Eti English haivutii? itakuvutia vipi na hauelewi chochote. we baki huko chato ujaribu kisukuma.
eti siielewi....kwa taarifa yako huo upuuzi wa english mnayousujudu na kuitukuza nimekuwa nayo since darasa la awali hivyo sina tatizo kwa upande huo.....na nimekulia kwenye mazingira yakukizungumza mara mara nanaweza kuzungumza na mtu yeyote yule ila siwezi kukizungumza na wakenya sababu mnakizungumza vibaya hamkiwezi vizuri japo mnakuwa nacho kikubwa nitakuzungumza na raia wa ughaibuni na watanzania wenzangu tulio smart kwenye english.......,,na kingine english si kitu kwangu
 
chokoraa wa uswazini una mambo kweli. .....umepata chakula ama nikutumie marupurupu kuokoa nafsi yako....
bora uwe mjinga kuliko kujifanya mjanja 4 nothing.....

el matadol endelea kukomaa hapo city center kwakuzivia wi-fi za bure hafu kingine wewe ni mzee ushazeeka
 
eti siielewi....kwa taarifa yako huo upuuzi wa english mnayousujudu na kuitukuza nimekuwa nayo since darasa la awali hivyo sina tatizo kwa upande huo.....na nimekulia kwenye mazingira yakukizungumza mara mara nanaweza kuzungumza na mtu yeyote yule ila siwezi kukizungumza na wakenya sababu mnakizungumza vibaya hamkiwezi vizuri japo mnakuwa nacho kikubwa nitakuzungumza na raia wa ughaibuni na watanzania wenzangu tulio smart kwenye english.......,,na kingine english si kitu kwangu

Unazungumza na watanzania wenzako? so interesting, maana ninyi wote hamjui chochote, you made it more amusing when you said that unakizungumza on daily basis I guess you are confused ,and don't know what you are talking about.
 
.....kwa kuwa mimi ni mwanaume katili,bedui,nduli,ngumi jiwe,jitu la miraba minne,mvunja nazi kwa ugoko,ngumi nakozi.....


Kwa kuwa we ni mwanaume uchwara ,vigezo vya kiume huna ,mambo mengine kwako hakuna unavyojidhani haufanani rekebisha ila utabaki kuonekana limbukeni .nilikwambia uki edit posts zangu nakuona mwanaume nusu ,njoo nikufunze madhili.
 
Unazungumza na watanzania wenzako? so interesting, maana ninyi wote hamjui chochote, you made it more amusing when you said that unakizungumza on daily basis I guess you are confused ,and don't know what you are talking about.
ngoja nikuache.....tu
 
Back
Top Bottom