Sijui Access road , Estate Road na tunaonyeshwa kibarabara kina ukurutu. Yaani Kule Kiwalani, Buza, Mwananyamala, makumbusho wana barabara kali za mitaa na Zina taa kabisa. Ni nzuri kuliko anazoonyesha . Angalia kazi ya (DMDP)
Pia mfano mzuri Chukulia Eneo dogo la Oysterbay.
Tufanye Kenyatta na Toure Drive ni Trunk. Angalia hali ya barabara za Mitaa kama Laobon, Zambia road, msasani Road, Tumbawe street, Mkwawa, Bongoyo, Kajificheni, Karume, Hill road, Ghuba etc. ni kali na safi kuliko huo utopolo wao.
Majamaa wengi wa huku wakiongea kitu tu unajua kabisa ye ndio mara ya kwanza kukutana nacho

. Na kwa jisni wanavyodhani jua linazunguka Kundustan Pekee
Wengine wanaropoka tu. Unakuta mtu anadai wao magari yao lililozeeka sana mwisho miaka mitano, Lakini kapost picha ina Magari yana miaka 40

. Vitu haviendani na wanavyonena. Utasemaje mpo level moja na Kigani kwenye usafi wakati kuna picha za zile kundustan estates hadi mbwa amesanda hiyo location.
Anyway Jioneee tofauti.