Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,607
- 15,711
Hao ndio watu tuna deal nao hapa imagine!pwo! pwo! pwo!... hii ni kali sana mzee💥🔥🔥 hivi nimecheka yangu yote 😆😆😆😆
Hao ndio watu tuna deal nao hapa imagine!pwo! pwo! pwo!... hii ni kali sana mzee💥🔥🔥 hivi nimecheka yangu yote 😆😆😆😆
😂😂😂Hili 'jiji' la Mbeya kuna wakati iliwahifanya uzinduzi wa lift na mapochopocho zikaandaliwa na hata ribbon kukatwa!. Watu walikula na kusherehekea kwenye hafla hiyo bab kubwa!😂😂 Watumbuizaji na wanenguaji viuno pia hawakuachwa nyuma. Walialikwa kuwaburudisha wageni mashuhuri walioalikwa kutoka pembe zote za Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kushuhudia uzinduzi wa lift ya kwanza katika 'jiji' la Mbeya.
View attachment 2472452View attachment 2472451View attachment 2472448View attachment 2472449View attachment 2472450View attachment 2472452
Ukistaajabu ya Musa, utaona ya watanzania!!
Wacha tucheke tuongeze miaka 😂😂😂😂😂
We fala kweli, hii punch inauma😅
Si bora Mbeya imepata lift 19 years ago, Kisumu third largest village ilipata traffic light 3 years ago 🤣🤣🤣🤣pwo! pwo! pwo!... hii nayo ni kali sana mzee!💥🔥🔥 hivi nimecheka yangu yote 😆😆😆😆
eti hivi leo.....👇🏽View attachment 2472486
View attachment 2472479
alafu kesho...👇🏽 kong!kong!View attachment 2472480
aisee miji za kibongo bana🤔Tanzania tumefanikiwa kulevel hali ya maisha nchi nzima
Hii ni Kigoma 1300 kilometers from Dar lakini hali yao ya maisha hasa ubora wa makazi ni wa kuridhisha, hutoona mtu kutoka hili eneo akifiwaza kwenda kwenye miji mikubwa ya Tanzania kutafuta maisha bora kama kunyaland kila county wananchi wanahama kulundikana Nairobi na kufanya slums kila kona
Kigoma View attachment 2472497
Na wangesomba tenda nyingi mno ndani ya nchi yetu, lakini as the result of stupidity, tenda zote wanachukua Wachina.Congo teyari Tanroads wanawajengea barabara kule Karemi. Tanroads wangechangamka wangeweza kuwa na kampuni kama ile ya ujenzi ya serikali ya China.
Una utoto sanaTanzania Military ijikute na US Marines kwa meza moja, hiyo itasalia kua ni ndoto...
kenya is technicaly a member of 'NATO'.. per sé!
touch kenya and u ll face the full might of Nato...
wacha huyo Muhozi Kaneirugaba acheze aone nyuklia kampala na jinja
....... .........
View attachment 2472197View attachment 2472183View attachment 2472184View attachment 2472186View attachment 2472187View attachment 2472198
nenda basi kanishtaki kwa nyanyakoUna utoto sana
You needed Tanzania sgr at the port but mlijenga uswazi kiholela holela sasa hakuna nafasiUnajua kila kotu kinajengwa kulingana na mahitaji,iyo via duct iko hapo for a reason,sio kwamba ni urembo
Si bora Mbeya imepata lift 19 years ago, Kisumu third largest village ilipata traffic light 3 years ago
View attachment 2472489



Wakuu eti hii road ni clean according to mkundustanRuaka road. Only Kigali can have this type of tranquility and cleanliness in an Estate in this region.
View attachment 2472193



















Wakuu eti hii road ni clean according to mkundustan
Aloo, wakundustan wachafu jamani, oneni hiyo clean roadView attachment 2472573
Barbara haina sidewalks wacha kujipendekeza! Kigali haina huu uchafu!
Lazima aseme hapo pasafi na Patulivu ukanda mzima wa EA 




Hawa jamaa uchafu uko in born hawawezi ona tofauti hapo.sasa Jitu linaona Hapo pasafi na patulivu kweli siku nyingine utakua na nguvu kujadialiana nae chochote. Ila kama katokea ile location hadi Mbwa anaona hapamfaiLazima aseme hapo pasafi na Patulivu ukanda mzima wa EA
![]()
Zwazwa anakuwekea na English kabisa anakuambia "Ruaka road. Only Kigali can have this type of tranquility and cleanliness in an Estate in this region".sasa Jitu linaona Hapo pasafi na patulivu kweli siku nyingine utakua na nguvu kujadialiana nae chochote. Ila kama katokea ile location hadi Mbwa anaona hapamfaiLazima aseme hapo pasafi na Patulivu ukanda mzima wa EA
![]()



















Lakini hawa wakundustan si huwa wanaona kabisa roads safi tunazoweka humu? Kwnn hawajifunzi jinsi gani road safi zinakaa?sasa Jitu linaona Hapo pasafi na patulivu kweli siku nyingine utakua na nguvu kujadialiana nae chochote. Ila kama katokea ile location hadi Mbwa anaona hapamfaiLazima aseme hapo pasafi na Patulivu ukanda mzima wa EA
![]()


Estate safi tulivu Dar es Salaam yote ndio hii hapa. 🤣 🤣 🤣 🤣Hawa jamaa uchafu uko in born hawawezi ona tofauti hapo.