Yani wakenya wote wamejikusanya dhidi ya mm mtu mmoja 🤣🤣🤣🤣 hii inaonesha kua mm ni mmoja wa maadai wakubwa ninaowaumbua sana na hawanipendi kaaaah na yule mtu wao zwazwa nae anashangilia kisa nimemuumbua kuhusu znz ilivo tamu anafkiri hatuijui mombasa
Ndugu wakenya naomba muendeleze chuki na mm manake mm napenda zaidi maadui kuliko marafiki 🤣🤣🤣🤣 mwengine anakwambia kibera kuna golf course
Unafkiri huyu kaja kuangalia golf course au kaja kuangalia maajabu ya dunia na kuona ni vipi binaadamu anaeza ishi mazingira ambayo hata nguruwe hawez kuishi
View attachment 2471140