Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Maisha ya vijijini yakiboreshwa namna hii umaskini wa kipato unaondoka kabisa, nawapongeza Watanzania kwa kutumia rasilimali asilia kujikwamua kiuchumi

Inatia hamasa kuona kila kukicha kuna tofauti zaidi ya jana





 
Mbona sioni tofauti na nchi zingine? Ama unatafuta tu sifa?
Sifa ya nini nitafute wakati sheria yetu inasema ardhi ni mali ya jamuhuri ya muungano wa Tanzania Raisi akiwa trustee.

Huoni tofauti na nchi nyingine lakini kisheria ina implication kubwa sana between being the owner of the land and lessee.
 
Land ownership and land leasing ni vitu viwili tofauti. Huwezisema kwamba anayemiliki ardhi na yule anayelease kutoka kwa serikali wako level moja. Whether you lease it for 99 years, the thing is that at some point the government will come for its land and this will affect your generation in one way or the other.

Huku kwetu, we own land permanently na hakuna siku kizazi chako cha baadae watakuwa affected na government in any way. Kuna tofauti kubwa sana. Cha kushangaza ni kwamba kila siku mnasema hapa eti wakenya hawamiliki ardhi while in real sense its Tanzanians who don't own land.
Most Kenyans don't own land. The majority of land is under politicians and foreigners such as Delamere na kina Kenyatta together they own over 50% ya arable land in Kenya.

Majority of Tanzanians partly lease the land from the government others through undocumented traditional ownership but all in all our lease holds are as good as land ownership.
 
undefined - Imgur.jpg
sgr 254.jpg
 
Pole sana, i see the pain 😫 in this comment
View attachment 2470056


Hii picha imepostiwa na hii article tar 7 Jan, 2016... almost 7 years ago
View attachment 2470057
Link hii hapa, scroll down hadi chini uione hio picha
Nyinyi picha za Nairobi mnazopost humu huwa mnaprove ni za mwaka gani?
 
Most Kenyans don't own land. The majority of land is under politicians and foreigners such as Delamere na kina Kenyatta together they own over 50% ya arable land in Kenya.

Majority of Tanzanians partly lease the land from the government others through undocumented traditional ownership but all in all our lease holds are as good as land ownership.
Hakuna kitu mbaya kama kulishwa porojo na propaganda na believing the same. Ni wapi ulisoma kwamba most Kenyans don't own land? By "most Kenyans" you mean more than 50%. Hii ardhi yote ya Kenya if it doesn't have ownership then who owns it?

Sikiza kijana, wacha nikupe mfano na mahali ninapotoka. Every little piece of land I know around where I come from is owned by individual people and they have tittle deeds for the same. I have never heard of or seen a squatter in the region I come from and this cuts across most parts of Kenya.

Tatizo la ardhi lipo mostly in certain parts coast region, Rift Valley and certain parts of central Kenya. I wonder how this represents the face of Kenya.

Nitajie land ya Delamere au Kenyatta unayojua iliyopo former Nyanza Province or Western Province and attach evidence. Do the same for former Eastern province and North rift among many other parts of the country. Achaneni na hadithi za kusimuliwa mibongola
 
Back
Top Bottom