Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,705
- 107,150
Cars assembled in a residential house!Locally Assembled Mitsubishi L200
Buy Kenya Build Kenya.
![]()
Cars assembled in a residential house!Locally Assembled Mitsubishi L200
Buy Kenya Build Kenya.
![]()
Toka line DT Dobie wakafanya Car assembling? Hawa si wauzaji wa magari na gereji ya kutengeneza?Mercedes Actros now Assembled in Kenya. Buy Kenya build Kenya.
![]()
Toka line DT Dobie wakafanya Car assembling? Hawa si wauzaji wa magari na gereji ya kutengeneza?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Articles nzuri sana! Ndo maana hawapati usingizi na hilo bomba ya mafuta. Ila ndo washafeli.Kinachowauma zaidi ni kwamba ile pipeline yao ya Lamu hamna financing kama walivyotarajia!
Halafu amini usiamini hii makala itakuwa extract ya ScienceDirect scientific paper niliyo-post humu ndani!
![]()
Rivalry in East Africa: The case of the Uganda-Kenya crude oil pipeline and the East Africa crude oil pipeline
Uganda and Kenya agreed to jointly build the Uganda-Kenya crude oil pipeline (UKCOP) in 2014. The planned pipeline benefited from a history of common …www.sciencedirect.com
Article imedadavua kinagaubaga! Humu ndani waandishi wazembe wa NMG wamo na nafurahi wana-copy topics! Mtu kama NDINDA asishangae makala juu yake the East African Opinion section kuhusu kuwabatiza jina Kundustan!Articles nzuri sana! Ndo maana hawapati usingizi na hilo bomba ya mafuta. Ila ndo washafeli.
We mkundustan sisi tuna mpaka App ya serikali hapa ni mwendo wa cashless economy. Huko kwenye number tumewaachia watu wa kijijini ambao hawatumii smart phone.View attachment 2464639Kwani paybill number ni kitu ya kuficha. Weka hapa tuone wacha kulialia.
Hii ndio app yenyeweWe mkundustan sisi tuna mpaka App ya serikali hapa ni mwendo wa cashless economy. Huko kwenye number tumewaachia watu wa kijijini ambao hawatumii smart phone.View attachment 2464639View attachment 2464640
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Article imedadavua kinagaubaga! Humu ndani waandishi wazembe wa NMG wamo na nafurahi wana-copy topics! Mtu kama NDINDA asishangae makala juu yake the East African Opinion section kuhusu kuwabatiza jina Kundustan!