Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuwepo kwake Toka 2019 kwani inaifanya isiwe kampuni ya Kenya😂😂🤣🤣


Kampuni ingine ya Kenya😂😂🤣

View attachment 2461519
Narudia kukwambia ww unaleta 2022 news wakat mm nakuonesha hio kampuni ipo toka 2019 na uzalishaji unaendelea mzee
Munaumia leo na maendeleo ya tanzania 😆😆😆😆😆😆😆😆
Screenshot_20221229-001555.png
 
🤣🤣🤣 Hii ni mbaya sana kumbe mpaka T-shirt wanaonunua kutoka Tz .. so nguo zao ni either second hand a.k.a mitumbas or Tanzanian made clothes 🤣🤣
Manufucturing industry ilikufa kabisa kipindi cha kibaki mwishoni alipoingia mlevi ndio akamaliza kitu 🤣🤣🤣 leo ukienda kenya utaona almost 97% wanaagiza vitu kutoka nje ya nchi
 
Manufucturing industry ilikufa kabisa kipindi cha kibaki mwishoni alipoingia mlevi ndio akamaliza kitu 🤣🤣🤣 leo ukienda kenya utaona almost 97% wanaagiza vitu kutoka nje ya nchi
Hao ni wazee wa mitumbas 🤣🤣🤣
 
Muanze kununua KQ ambayo ineshatangazwa kuuzwa 🤣🤣🤣..
Wameuza karibu kila kitu sio tu hio kq mpaka makapuni na miradi ya serekali yao mingi waliuza na zingine zilikufa kabisa angakia viwanda vya sukari kenya vyote vimekufa sasa wana import sukari nyingi kutoka brazil na uganda 🤣🤣🤣🤣
 
Tutajunua Air Tanzania through KQ vile wakenya walitumia KQ kununua Precision Air.
Kq imewatoa uharo pamoja na kumiliki ndege tatu chakavu 🤣🤣🤣 ina loss miaka 12 na sasa munaiuza nimeskia wenzenu wanalalamika watakua hawana shirika
 
Tanzania is Kenya's playground.

This company is fully owned by Kenya😂😂🤣👋

1672263313162.png
 
Back
Top Bottom