Kundustan dweller utaumia sana mwaka huu. Na ninauhakika utakufa haraka sana kutokana na magonjwa ya moyo.Mturuki aliwadanganya ati atawajengea terminal yenye train inapita ndani alafu mwishoe wakajengewa kama za Pugu na Shoga😂🤣
Mbona ituume? Our SGR is functional, yenu hata hamjui itaanza kazi lini😂😂
SGR ya kenya ya kutumia fossil. You using dead living thingsMbona ituume? Our SGR is functional, yenu hata hamjui itaanza kazi lini😂😂
Hiyo electricity Iko wapi?😂😂SGR ya kenya ya kutumia fossil. You using dead living things
Sisi tunatumia Electricity
![]()
Wewe endelea na kazi ya Nursing hapo Sai PharmaceuticalsHiyo electricity Iko wapi?😂😂
Hiyo building ndio kwanza ipo 35% sijui kinakuwasha kipiRender is facing north while the actual building is facing south😂😂🤣😂
Let's compare the shape of the entry points🤣😂
Render
View attachment 2458045
Actual
View attachment 2458046
Unajua ni tatizo sana kujadiliana na wanawake wenye stress. Huyu bint ana stress sana. NImemfuatilia kiundani.Hiyo building ndio kwanza ipo 35% sijui kinakuwasha kipi
Acha excuses. Reli itapandishwa lini?😂😂🤣 Na katikati ya hiyo terminal reli litaingia lini?😂😂🤣Hiyo building ndio kwanza ipo 35% sijui kinakuwasha kipi
Hahahaha kinawauma kweli kuona maendeleo ya SGR yetu, baada ya kusainiwa kipande cha Tabora Kigoma mpaka kuna wengine wamelihama kabisa jukwaa, sasa huyu punguani anacholazimisha sijui ni kipi wakati video aliotoa hiyo picture engineer anasema kabisa kwamba jengo lipo 35% na anasisitiza abiria wataabiri wakiwa ndani ya jengo 🙌 wanapenda tufeli lakini ndio hivyo Haiwezekani 😅Unajua ni tatizo sana kujadiliana na wanawake wenye stress. Huyu bint ana stress sana. NImemfuatilia kiundani.
Huyu msichana anafanya kazi kwenye kampuni moja ya wahindi huko kenya. Juzi alijichanganya kwa hasira akaweka taarifa zake hapa tukapita nazo. Unajua stress za kufanya kazi kwenye kampuni ya wahindi. Mshahara wake ni kidigo sana. Anawaza makubwa. 🤣 🤣 🤣 🤣Hahahaha kinawauma kweli kuona maendeleo ya SGR yetu, baada ya kusainiwa kipande cha Tabora Kigoma mpaka kuna wengine wamelihama kabisa jukwaa, sasa huyu punguani anacholazimisha sijui ni kipi wakati video aliotoa hiyo picture engineer anasema kabisa kwamba jengo lipo 35% na anasisitiza abiria wataabiri wakiwa ndani ya jengo 🙌 wanapenda tufeli lakini ndio hivyo Haiwezekani 😅
Hii picture ya render inaonesha mbele ya jengo, haya tuoneshe nyuma ya jengo kutoka kwenye renderAcha excuses. Reli itapandishwa lini?😂😂🤣 Na katikati ya hiyo terminal reli litaingia lini?😂😂🤣
View attachment 2458077View attachment 2458078
Kwani ulitaka abiria wasubiri juu ya jengo😂😂🤣Hahahaha kinawauma kweli kuona maendeleo ya SGR yetu, baada ya kusainiwa kipande cha Tabora Kigoma mpaka kuna wengine wamelihama kabisa jukwaa, sasa huyu punguani anacholazimisha sijui ni kipi wakati video aliotoa hiyo picture engineer anasema kabisa kwamba jengo lipo 35% na anasisitiza abiria wataabiri wakiwa ndani ya jengo 🙌 wanapenda tufeli lakini ndio hivyo Haiwezekani 😅
😂😂😂😂 Aje nimpeleke gulf huko ndugu zake walipo 🤣 ila awe na manyonyo makubwa halafu nitamuambia kazi yake 😅Huyu msichana anafanya kazi kwenye kampuni moja ya wahindi huko kenya. Juzi alijichanganya kwa hasira akaweka taarifa zake hapa tukapita nazo. Unajua stress za kufanya kazi kwenye kampuni ya wahindi. Mshahara wake ni kidigo sana. Anawaza makubwa. 🤣 🤣 🤣 🤣