Raila amekua mtu wa kulalamika maisha yake yoteRuto anazurura Qatar Mara US na haelewi anachofanya huku life la Kunyaland likizidi kuwa worse..
President of no directionView attachment 2455634



eti anaweka blurred image kujiliwaza, mbona usiweke clear? unaumia? hauamini.., mwehu wewe, nimekunyonga na kaMwanza kako..,Yani nimecheka sana tena sana ndio maana nimekwambia toka asbh kwa leo pumzika 🤣🤣🤣🤣🤣 yani ni vichekesho vikubwa
View attachment 2455641View attachment 2455642
Apumzike, I voted for him, but Ruto is doing fine.., nimeanza kupenda strategies zake.., mzee apumzike, let him criticize the govt kama mpinzani.,Raila amekua mtu wa kulalamika maisha yake yote![]()
Raila ni mtu muhimu sana kwenye siasa za kenya na anaongea facts mm always niko upande wake no matter whatApumzike, I voted for him, but Ruto is doing fine.., nimeanza kupenda strategies zake.., mzee apumzike, let him criticize the govt kama mpinzani.,
Safi, but ameanza kukua senile bana.., namkubali but he is losing it..,Raila ni mtu muhimu sana kwenye siasa za kenya na anaongea facts mm always niko upande wake no matter what
Fumba Town Zanzibar. UsibeSafi, but ameanza kukua senile bana.., namkubali but he is losing it..,
Anaisaidia serikali kuongeza umakini tu..ila daah hapana hamaa ana gutsApumzike, I voted for him, but Ruto is doing fine.., nimeanza kupenda strategies zake.., mzee apumzike, let him criticize the govt kama mpinzani.,
Ninauhakika unatamani sana kuwa na vitu hivi tulivyonavyo lakini Mungu aliwanyima.
Kwani Kenya hakuna beach?😂😂🤣😂 Ama unaongelea makuti😂Ninauhakika unatamani sana kuwa na vitu hivi tulivyonavyo lakini Mungu aliwanyima.
View attachment 2455718
View attachment 2455719
View attachment 2455722
Onesha hizo beach.Kwani Kenya hakuna beach?😂😂🤣😂 Ama unaongelea makuti😂