Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Many people? How many people! Our policy on COVID was the best one and the most successful!

We had the least death EA and the least negative impact on the economy.

ukweli ndo huo roho zinawauma tu kama kawaida yetu! Tovu litawatoka sana. Na bado!!
Are you talking about prayer na kujifukiza as the best policies? I remember muombe ma mjifukize na miti shamba. A whole nation can't be this stupid!

Secondly, how could you know the number of deaths when your own government refused to provide updates on the pandemic?
 
Gezaulole kupitia huu uzi amewahi kumshauri Magufuli kuhusu kumbana yule mkenya aliyetakiwa kuja kuwa CEO kwenye kampuni fulani hapa bongo na ikawa hivyo, so kupitia huu uzi wameona na watalifanyia kazi.
Eti Geza Ulole alishauri Magufuli?😂😂😂😂😂😂😂😂😂
You are losing your mind at an alarming speed!
 
Utajuaje idadi ya waliokufa wakati serikali yenu ilikuwa ikibania taarifa za covid? Sisi idadi ya waliokufa inajulikana kwa sababu kila kitu kiliwekwa wazi na waziri wetu alikuwa akitoa taarifa hizo wazi kwa vyombo vya habari. On the other hand nyinyi taarifa hizo mlizibania hadi WHO even asked your government to give covid updates

Hao maelfu waliokufa kwa corona walikuwa wanaishi mawinguni tusiwaone au?
 
I am officially giving you the title of Kenya's greatest clown! You are such a fool!

According to what you have put up, then Citizen is bigger than multichoice because it has a dozen irrelevant radio station that are shaped based on ukabila na ukanda, listened by 30,000 people each on average!

Unatia aibu wakenya wanzio! Kichwa maji wewe!
Keshapigwa sindano mkuu na hakurudi tena
 
Umemaliza ubishi, tatizo la wakundustan wameongopewa mno, sasa Azam ya kufananisha na Tv ya vichekesho kama Citizen? Anaijua nani hyo Citizen hapa EA.
Let's see who is more popular between that your Azam and Citizen.

Twitter followers.

Citizen 4.9M, Azam 1M
Screenshot_20221221-235451_1.jpg

Screenshot_20221221-235538_1.jpg



Facebook.
Citizen 6.2M followers, Azam 2.2M followers.
Screenshot_20221221-235716_1.jpg

Screenshot_20221221-235805_1.jpg



Instagram
Citizen 1.8M followers, Azam 3.7M followers.
Screenshot_20221221-235914_1.jpg
Screenshot_20221221-235954_1.jpg


YouTube subscribers

Citizen 3.9M
Azam 2.2M
Screenshot_20221222-001418_1.jpg
Screenshot_20221222-001507_1.jpg



So total followers are as below.

Citizen is 4.9+6.2+1.8+3.9=16.8M followers
Azam is 1+2.2+3.7+2.2=9.1M followers.
 
I am officially giving you the title of Kenya's greatest clown! You are such a fool!

According to what you have put up, then Citizen is bigger than multichoice because it has a dozen irrelevant radio station that are shaped based on ukabila na ukanda, listened by 30,000 people each on average!

Unatia aibu wakenya wanzio! Kichwa maji wewe!
Mimi hasira zako usiniletee. Citizen Tv pekee has 16.8M followers while Azam Iko na only 9.1M followers on social media 😂😂🤣😂
 
I am officially giving you the title of Kenya's greatest clown! You are such a fool!

According to what you have put up, then Citizen is bigger than multichoice because it has a dozen irrelevant radio station that are shaped based on ukabila na ukanda, listened by 30,000 people each on average!

Unatia aibu wakenya wanzio! Kichwa maji wewe!
Ukubwa wa media house inaashiriwa na vitu kadhaa na baadhi yao ni haya:
1. Idadi ya wafanyikazi
2. Businesses and operations
3. Total revenues
4. Number of mainstream media outlets it has...etc etc

Kwa hayo mambo machache niliyotaja ni kipi Azam inazidia Royal Media Services?
 
Let's see who is more popular between that your Azam and Citizen.

Twitter followers.

Citizen 4.9M, Azam 1M
View attachment 2454028
View attachment 2454029


Facebook.
Citizen 6.2M followers, Azam 2.2M followers.
View attachment 2454030
View attachment 2454031


Instagram
Citizen 1.8M followers, Azam 3.7M followers.
View attachment 2454032View attachment 2454033


So total followers are as below.

Citizen is 4.9+6.2+1.8=12.9M followers
Azam is 1+2.2+3.7=6.9M followers.
Tupe coverage ya Citizen tv tulinganishe.
 
Back
Top Bottom