Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Watanzania hupendelea zaidi kwenda nje ya africa sio kama nyinyi ni lazmamuvutiwe na maendeleo yatanzania kwa ujumla
Kama mnapenda kuenda nje ya Africa, why is it not showing in your remittance?😂😂😂

20221214_185335.jpg
 
Kuna source nakutaftia subiri ilanakwambia 2025 tutakua na 25m tons na wakat nyinyi sasa hvi munachezea 26m tons na bado kila siku kwenu
Achana na mambo ya 2025, ulisema Dar Dar is currently handling 22M tonnes. Ziko wapi hizo 22M tonnes?

Alafu umesema Mombasa is handling 26M?😂😂😂

 
Achana mambo ya 2025, ulisema Dar Dar is currently handling 22M tonnes. Ziko wapi hizo 22M tonnes?

Alafu umesema Mombasa is handling 26M?😂😂😂


Kama kawaida yenu kupika data ni jambo mushalizoea ndio maana hua munadanganywa kwa kila kitu na jubilee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Kama kawaida yenu kupika data ni jambo mushalizoea ndio maana hua munadanganywa kwa kila kitu na jubilee🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona umeumia kweli kweli😂😂🤣. Siku Dar itafika hata nusu ya what Mombasa is doing currently uniambie.

Screenshot_20220924-155126.png
 
Akili inakusaidia kweli? Tuko 2022 lakini wewe unaleta articles za 2016😂😂🤣🤣. It seems you can't sustain the facts Sasa umeamua kutafuta articles za 2016.

Again jifunze meaning ya Official Source. In matters ports in Kenya there's nothing more official than KPA.


 
Naona umeumia kweli kweli😂😂🤣. Siku Dar itafika hata nusu ya what Mombasa is doing currently uniambie.

View attachment 2448507

As for now kazi iliobakia ni kupika data kama kawaida yenu wakat kila siku munalia kua dar na djebout ndio mwiba wa mombasa port au sio nyie 🤣🤣🤣🤣 na anaewapa kiburi ni uganda pekee na sasa tunaenda nae sambamba





 
Akili inakusaidia kweli? Tuko 2022 lakini wewe unaleta articles za 2016😂😂🤣🤣. It seems you can't sustain the facts Sasa umeamua kutafuta articles za 2016.

Again jifunze meaning ya Official Source. In matters ports in Kenya there's nothing more official that KPA.



Umeona ni data ya 2016 kweli au unajitekenya 🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana dunia nzima inawajua kwa kupika data za uongo na hili ni gonjwa kubwa mulionalo linalowatia umaskini kila kukicha
 
As for now kazi iliobakia ni kupika data kama kawaida yenu wakat kila siku munalia kua dar na djebout ndio mwiba wa mombasa port au sio nyie 🤣🤣🤣🤣 na anaewapa kiburi ni uganda pekee na sasa tunaenda nae sambamba






Wapi penye imeandikwa hapo Dar Port is handling 22M na Mombasa 26M tonnes per year?😂😂😂 Nimekuambia siku Dar itafika hata nusu ya Mombasa uniambie😂



Screenshot_20220924-155126.png
 
Umeona ni data ya 2016 kweli au unajitekenya 🤣🤣🤣🤣🤣 ndio maana dunia nzima inawajua kwa kupika data za uongo na hili ni gonjwa kubwa mulionalo linalowatia umaskini kila kukicha
Hata hujasoma article yako ukaona ni mwaka gani. Yani world bank, IMF na AFDB wakubaliane na data zetu alafu mwarabu bonoko ndio aseme ni za kupikwa? Nenda ukalie mbali😂😂😂
 
Hata hujasoma article yako ukaona ni mwaka gani. Yani world bank, IMF na AFDB wakubaliane na data zetu alafu mwarabu bonoko ndio aseme ni za kupikwa? Nenda ukalie mbali😂😂😂
Mbona umebadilika sasa nimekuuliza umeona ni ya 2016 au 🤣🤣🤣🤣
 
Hata hujasoma article yako ukaona ni mwaka gani. Yani world bank, IMF na AFDB wakubaliane na data zetu alafu mwarabu bonoko ndio aseme ni za kupikwa? Nenda ukalie mbali😂😂😂
Na shida mulionayo nyinyi hua hamupendi kuona tanzania ikifanya vzr kwenye kila jambo 🤣🤣🤣 port imeanza expansion miaka 3 iliopita ila leo inawasumbua tayar vichwa yani mpaka huruma
 
Back
Top Bottom