Cheap n ugly interchange only in Nairobi
Asante for posting an article of 2016😂😂🤣😂
Kwani uoni 2016 hapa. Mbona watanzania wanakuanga wajinga hivi😂😂Mbona umebadilika sasa nimekuuliza umeona ni ya 2016 au 🤣🤣🤣🤣
Mnafanya vizuri na 17M tonnes?😂😂😂 Nimekuambia Dar Port ikifika hata nusu ya Mombasa utuambie.Na shida mulionayo nyinyi hua hamupendi kuona tanzania ikifanya vzr kwenye kila jambo 🤣🤣🤣 port imeanza expansion miaka 3 iliopita ila leo inawasumbua tayar vichwa yani mpaka huruma
Zingine hizi hapa wametutengenezea jirani yetu
Zingine hizi hapa wametutengenezea jirani yetu
Zingine hizi hapa wametutengenezea jirani yetu
That's not an interchange.Cheap n ugly interchange only in Nairobi
Ukiskia wanavopika data alaf maisha yenyewe ndio haya 🤣🤣🤣 ona maisha hayo hata nguruwe hawez kuishi
Tena siku hizi mizigo mingi ya Rwanda na Burundi inapitia Tanga port.As for now kazi iliobakia ni kupika data kama kawaida yenu wakat kila siku munalia kua dar na djebout ndio mwiba wa mombasa port au sio nyiena anaewapa kiburi ni uganda pekee na sasa tunaenda nae sambamba
Ebu show us figures za mizigo zao? For me I can show you the amount of Rwandan and Burundi cargo passing through Mombasa.Tena siku hizi mizigo mingi ya Rwanda na Burundi inapitia Tanga port.
Kumbe ni nn?That's not an interchange.