Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu hiyo 29M includes hadi ports za lake Victoria and Tanganyika. Yani anything with a name port wameunganisha lakini bado hawafikii hata 2/3 of Mombasa port alone. Again those figures are for full year ending June.
Hawa ni kelele tu na arguments za kijinga
 
Konza city horizontal infrastructure progressing well
Fj743khWIAA6X2A.jpg
 
Full year all your ports only handled 29M tonnes? Alafu kumbe what Kisumu port handles in a year is more than Mwanza and Kigoma combined?😂😂🤣
Bandari za Tanzania zinategemea biashara ya Nje zaidi kuliko Kenya inahitegemea Uchumi wa ndani..

Kwa msingi huo by the end of the year tutakuwa tumefikisha Tani mil.21 so come 2025 itakuwa Tani zaidi ya mil.25 ambako ndio Lengo la TPA.

Bandari zetu' Ni Dar,Tanga, Mtwara na Kigoma hao kina Mwanza Ni nyongeza.
 
Heri kuwa mpishi na mwalimu kuliko kuwa ombaomba .

Ombaomba ni kama scam, kuna watu uwakusanya walemavu na kuwafanya kua ombaomba kwa faida yao. Hata hao unawaona kuna godfather behind tena inawezekana akawa mkunya kama wewe. Pia ndani yake humo wakunya hawakosi. Sio ombaomba wote ni watanzania tena wakunya ndio haya aibu hamuoni kuna video iliwekwa watu wazima wanamuomba hela mzungu bila aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ombaomba ni kama scam, kuna watu uwakusanya walemavu na kuwafanya kua ombaomba kwa faida yao. Hata hao unawaona kuna godfather behind tena inawezekana akawa mkunya kama wewe. Pia ndani yake humo wakunya hawakosi. Sio ombaomba wote ni watanzania tena wakunya ndio haya aibu hamuoni kuna video iliwekwa watu wazima wanamuomba hela mzungu bila aibu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Uko sahihi, nanukuu Kwenye gazeti moja; “There must be someone organising the entry of these foreign beggars into the town centre and it appears that they are being dropped at specific positions very early in the morning and picked up late in the evening,” said the immigration officer.
Hiyo ni biashara ya wakenya, hiyo biashara ni maarufu sana kenya ila hizi kondoo za humu zenye akili ndogo haziwezi kubali maana ni aibu.

Wana maisha magumu kiasi kwamba inawalazimu kuwakusanya walemavu na kuwafanya omba omba mitaani ili wawakusanyie pesa.
 
Uko sahihi, nanukuu Kwenye gazeti moja; “There must be someone organising the entry of these foreign beggars into the town centre and it appears that they are being dropped at specific positions very early in the morning and picked up late in the evening,” said the immigration officer.
Hiyo ni biashara ya wakenya, hiyo biashara ni maarufu sana kenya ila hizi kondoo za humu zenye akili ndogo haziwezi kubali maana ni aibu.

Wana maisha magumu kiasi kwamba inawalazimu kuwakusanya walemavu na kuwafanya omba omba mitaani ili wawakusanyie pesa.
Sasa wewe unaongea ukiwa tandale na sisi tupo Kenya na tunakutana nao kila siku kwenye barabara zetu na wao wenyewe wanakiri ni watanzania ukiwauliza. It can't be by coincidence eti beggar wa Nairobi aseme the same thing na beggar wa Nakuru ama Kisumu when asked where they come from. I know it pains but hawa ombaomba ni watanzania.
 
Sasa wewe unaongea ukiwa tandale na sisi tupo Kenya na tunakutana nao kila siku kwenye barabara zetu na wao wenyewe wanakiri ni watanzania ukiwauliza. It can't be by coincidence eti beggar wa Nairobi aseme the same thing na beggar wa Nakuru ama Kisumu when asked where they come from. I know it pains but hawa ombaomba ni watanzania.

Niliacha kubishana na wapumbavu.
 
Sasa wewe unaongea ukiwa tandale na sisi tupo Kenya na tunakutana nao kila siku kwenye barabara zetu na wao wenyewe wanakiri ni watanzania ukiwauliza. It can't be by coincidence eti beggar wa Nairobi aseme the same thing na beggar wa Nakuru ama Kisumu when asked where they come from. I know it pains but hawa ombaomba ni watanzania.
Wanakana watanzania wenzao😂😂
 
Back
Top Bottom