kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
porojo ya mchana baada ya kukosa pesa ya kwenda kula lunch ya sima kwa sukuma wiki.Tanzanian ladies ni wa kufuga tu nyumbani na kazi yao ni kupaka poda usoni siku mzima ukiongezea na kupiga umbea......kwa kuchapa kazi na kuinua kipato cha nyumba zero bin zero.
