Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzanian ladies ni wa kufuga tu nyumbani na kazi yao ni kupaka poda usoni siku mzima ukiongezea na kupiga umbea......kwa kuchapa kazi na kuinua kipato cha nyumba zero bin zero.
porojo ya mchana baada ya kukosa pesa ya kwenda kula lunch ya sima kwa sukuma wiki.
 
Ukabila ni sumu kwa kila kiumbe, kweli vyuma vimekaza
nchi inayumba kisiasa na kiuchumi kila leo
IMG_0223.JPG
 
It was an honest question bro

sorry man..thought you were trying to play a joke with me...reposting anything within jf is made easy for app users.

download jf app from the appstore then try to play around with its functionalities.

you can't enjoy this option if you are using a laptop or desktop.
 
Kwa maoni yangu kwa sasa nairobi iko mbele kimiundombinu kuliko dar but naona as compaired to 15 years back dar imeendelea kwa kasi kubwa kuliko kasi ya development ya Nairobi nadhani kama uchumi wetu ungeendelea na kasi iliyokuwepo kwa miaka 8 nyuma basi yumkini baada ya miaka 10+ dar ingweza kuiacha nairobi kwa mbali sana hasa ukizingatia geographical location yake bara , mwambao wa pwani na Visiwa....katika nadharia za uchumi ardhi ( Location Inertia Principal) ni dhahiri mandhari ya Dar inaweza kuwa bora kuliko miji mingi africa na hasa position yake kutoka kaskazini na kusini mwa africa.
 
Back
Top Bottom