Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi Kenya

IMG_20171004_150942.jpg
 
this testimony is very inspiring.hongera sana bakhresa group and thank you Ekasi for sharing this.
DURBAN: Bakhresa(azam) anashindana na wazungu sasa.

Jana naingia super market(cape town) naona unga wa ngano azam.
Watu wa rangi zote wananunua.

Nakumbuka nikiwa mdogo azamu inapoanziswa chumba kimoja pale Kariakoo leo tuna mtu ambaye hana diploma/degree/master, Phd lakini analisha Africa nzima kaajiri wafanyakazi wachina, weupe na weusi.

Kuna watanzania wana Phd's wamebakia kuiba, wapo walio na mabillion hawajui wafanye nazo nini. Mbaya zaidi wakifukuzwa kazi wanakufa masikini watoto wao wanatia aibu.

Napenda kumpongeza sana huyu mzee ambaye anahitaji kila sifa, na kutuonesha elimu sio makaratasi ni pamoja na kuelimika. Mzee wetu ana elimu ya pesa, hekima, busara, anafanya kazi kwa bidiii, hapendi makele na siasa, anajua anatoka wapi na anaenda wapi. Katengeneza kazi zaidi ya 120 hapa Durban.

Successful people do not blame a society, politics and community stop making noise wake up take responsibilities and change the global like sheak Said Bakhessa

Mungu akupe maisha marefu najisifu mbele ya marafiki zangu hapa nilipo kama natoka Tanzania ..Sio wanasiasa na wezi na wasio penda kazi wamebakia makelele kila siku..Tutakufa masikini na Mungu atatui motoni.
 
Kwa maoni yangu kwa sasa nairobi iko mbele kimiundombinu kuliko dar but naona as compaired to 15 years back dar imeendelea kwa kasi kubwa kuliko kasi ya development ya Nairobi nadhani kama uchumi wetu ungeendelea na kasi iliyokuwepo kwa miaka 8 nyuma basi yumkini baada ya miaka 10+ dar ingweza kuiacha nairobi kwa mbali sana hasa ukizingatia geographical location yake bara , mwambao wa pwani na Visiwa....katika nadharia za uchumi ardhi ( Location Inertia Principal) ni dhahiri mandhari ya Dar inaweza kuwa bora kuliko miji mingi africa na hasa position yake kutoka kaskazini na kusini mwa africa.
Unless you have never been to Nairobi area.......most Dar guys still think Nairobi is KICC or the old CBD. .....
 
Back
Top Bottom