Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

I know of village city called Mwanza na Arusha.., na eti Ka Dodoma..., Mbeya!!..., Tz ni Uganda ingine.., do u know Uganda has more cities than Kenya eti? yaani 10 cities!! sasa ndio Tanzania,๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
Hiyo Mbeya haiwezani hata na Kisii town
 
Hivyo ni viwanja vya CCM, CCM wenyewe hawawezi kuviendeleza bila msaada wa serikali na kodi zetu.. kwenye hayo majadiliano ya familia moja (Baba Serikal na Mama CCM) kwann wasiviuze moja kwa moja kwa serikali

Afu kwa mantiki hio ya majadiliano, ule uwanja mpya wa mpira wa serikal mkoani Dodoma tuusahau kbsa kujengwa, (ndo mana hata sijawahi kumsikia akiuzungumzia). CCM wanataka uwanja wao wa jamhuri ndo ufanyiwe marekebisho waendelee kupiga hela. Hapa mama anaiweka CCM mbele kuliko Taifa
Eti anakwambia wanajadiliana na wamiliki, pumbavu yn pesa za serikali zikakarabati viwanja vya CCM kwnn CCM isiviuze kwa serikali ili tujue tunakarabati viwanja vyetu, hv CCM inatuchukuliaje Watz?
 
Hivi unamaanisha ametoa lami kwa barabara ndio akaposti picha ama?
Heheheeeee hii picha ni kali, hakuna uchafu, hakuna slum na hakuna nyumba za hovyo kama mnazomiliki huko kwenu usifosi tufanane
tapatalk_516262704_512x304.jpg
 
We nawe ni mnuka mavi tu yani picha nzuri za mbeya zilizowekwa humu umeziruka umechagua ile inayokufurahisha, hiyo thika village sehemu kubwa ni chafu na yenye taka kila angle na bado unaisifia, thika ni chafu sana usiipe sifa isizokuwa nazo mnuka mavi wee
Thika town
images (29).jpeg
images (30).jpeg


Mbeya city ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
20221211_111154.jpg
 
Aerial hii hapa, au weka picha ya juu kama hii usiizoom pumbavu wewe View attachment 2444812
Kwani hizo picha mbili nilizoweka sio aerial photos? Ama uelewa wako wa neno aerial photo ni nini? Picha yangu ya pili na hiyo picha yakoo ni ya sehemu moja, they are both from Google Earth, na zote ni aerial photos. Wewe ni kilaza sana aise!
 
Kwani hizo picha mbili nilizoweka sio aerial photos? Ama uelewa wako wa neno aerial photo ni nini? Picha yangu ya pili na hiyo picha yakoo ni ya sehemu moja, they are both from Google Earth, na zote ni aerial photos. Wewe ni kilaza sana aise!
Kwnn unazoom sasa, unataka kumuongopea nani
 
We nawe ni mnuka mavi tu yani picha nzuri za mbeya zilizowekwa humu umeziruka umechagua ile inayokufurahisha, hiyo thika village sehemu kubwa ni chafu na yenye taka kila angle na bado unaisifia, thika ni chafu sana usiipe sifa isizokuwa nazo mnuka mavi wee
Hii ni coverage kubwa.., CBD ya Mbeya wewe hauoni?.. this is the epicenter ya Mbeya mjukuu.., tazama from background kuleee, to the foreground., huwezi linganisha Thika na ata KaDodoma kenu., wacha kujitoa ufahamu, unajiliwaza na vijimaneno eti., pole mko down sana. eti Mbeya ni city Tanzania๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚ ๐Ÿ˜‚
20221211_111154-jpg.2442749
 
Back
Top Bottom