The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,965
🚮🚮🚮🚮Alinielekeza*
Bado ana mengi tu ya kukuelekeza!
🚮🚮🚮🚮Alinielekeza*
Bado ana mengi tu ya kukuelekeza!
Hapa Hakuna Barabara?Kibera ni slum na ni sehemu ndogo sana ya Nairobi na bado kuna barabara. Nyinyi kwa dream houses bado hamna barabara. 🤣 🤣 🤣![]()
![]()
Ila kwa mitaa ya mtu wa kawaida Kenya kuna barabara safi sana. Ebu checki
Umoja
View attachment 2444718
Kariobangi
View attachment 2444721
Pipeline
View attachment 2444722
Wewe ccm wamekupa kazi ya kuwapigia domo mitandaoni lakini hawakukupa how's?🚮🚮🚮🚮
Hii!!!Wewe ccm wamekupa kazi ya kuwapigia domo mitandaoni lakini hawakukupa how's?
There's nothing bigger than UDS library in the whole region, ambie SA wakupee msaadaKU library is bigger than that Chinese donation.
2 days ago hii reply ingekua hivi!
Eti 👇2 days ago hii reply ingekua hivi!
Kwani ni nzuri? Na hizo barabra zote za vumbi!😂😂😂
Kama mitaa za Dar karibu zote, ni panya routes yaani corridors, unapita nyuma ya nyumba za watu unaweza kuskiza kile kinaendelea ndani., madirisha ni wiremesh, vasco da gama kinda😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Miji ya kibongo inajengwa kambe wenyewe hawatawai nunua magari, yani unapata nyumba zimerundikana hamna hata pa gari kupitia. 🤣 🤣
Yani nchi inapigwa kwa ss balaa, rushwa kila kona, immigration ndio usiseme yn ni wazi wazi, mashirika ya umma yapo taabani, ATCL iko hoi A220 zote hazifanyi kazi, kila siku ni ugomvi na abiria.Huyu ndo rais wenu. Kazi ipo
Kaondoka bila kuaga hata mapichapicha ya akiwa JNIA hatukutaarifiwa
ah wapi? how now? uko serious ati Mbeya ni City??????..., Tanzania iko down aje?Mbeya ni City bro😂😂
And mind you, Mbeya is a city 😂😂😂dar kama dar kweli..
ila hawa mandugu wa rika moja hawa.. ie. Mbeya vs kisii hapa hivi👇🏽
kisii👇🏽View attachment 2444525View attachment 2444526View attachment 2444528View attachment 2444529View attachment 2444530View attachment 2444531View attachment 2444543
uMbeya tupu👇🏽View attachment 2444539View attachment 2444540View attachment 2444541View attachment 2444542View attachment 2444535View attachment 2444536View attachment 2444533
Kwani hujuangi Mbeya ni city? 😂😂😂ah wapi? how now? uko serious ati Mbeya ni City??????..., Tanzania iko down aje?
I know of village city called Mwanza na Arusha.., na eti Ka Dodoma..., Mbeya!!..., Tz ni Uganda ingine.., do u know Uganda has more cities than Kenya eti? yaani 10 cities!! sasa ndio Tanzania,😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂Kwani hujuangi Mbeya ni city? 😂😂😂
Nifundishe ku share habari nkutoka source ili kuileta hapa jf Kama hii hapa 👇
We nawe ni mnuka mavi tu yani picha nzuri za mbeya zilizowekwa humu umeziruka umechagua ile inayokufurahisha, hiyo thika village sehemu kubwa ni chafu na yenye taka kila angle na bado unaisifia, thika ni chafu sana usiipe sifa isizokuwa nazo mnuka mavi weeIla bado ni below standard, housing ni zile muundo ya kizamani.., mji unakaa ancient town in 2022, has an old look, looks like most Ugandan towns..,
![]()
A town should look like this(Thika town) kwa mfano, haijafika ila inaonyesha it is a town, Mbeya has a village look, hope Mbeya haijatajwa kama city in Tz kwa vile serikali yenu na ya Uganda wako na hio tabia ya kutaja substandard towns eti ni City...,
View attachment 2444639
View attachment 2444641
View attachment 2444640







