Hawana kilimo kama cha Tanzania, hawana migodi kama ya Tanzania na hawana fossil energy inayotumika from their own sources kama Tanzania hivyo our debt is highly sustainable compared to theirs at 100% of GDP.Deni letu ni trillion 91 lenu ni trillion 170,
hamna brt, hamna 2400 megawatts dam, hamna bullet trains, hamna bandari kama za Tanzania, hamna airports kama za Tanzania, hamna EACOP pipeline kama Tanzania, hamna barabara kama za Tanzania, hamna Universities kama za Tanzania, hamna water systems kama za Tanzania! Hamna hamna hamna hamna hamna

