We uko shortsighted sana,
Malori yanayopita morogoro road to mikoani yatapungua kwa kiasi fulani, tutasave time ya kusafirisha mizigo,barabara hazitakua zinaharibika kwa kipindi kifupi...Itaongeza ufanisi wa usafirishaji mizigo na watu.
Umeme tunaouzalisha unapata matumizi tanesco watauzia trc umeme na kuongeza mapato hivyo itasaidia kuhudumia na wananchi wengine ambao hawajafikiwa na huduma.
Bandari kavu ya kwala itakapoanza kutumika itapunguza foleni kule kurasini kwahyo port inazidi kua efficient
Kitu cha kukazana nacho ni kuendelea kutanua port ili mizigo iongezeke maradufu