Huku Karen hakuna tofauti na Mabwepande.
Huku Karen hakuna tofauti na Mabwepande.
Akikupa nitag.Tupe jina la barabara tukuumbue tu sahii na Google Streetview.
Too bad. Nikifika huko over the holidays I'll post the picture here. Don't worry kijana wa TandaleWewe huaminiki, kuna siku uliweka picha humu ukisema ni nyumba yako kumbe ni watchman.
Kundustan lini watapata barabara zenye standards hivi na safi hivi?
Nakumbuka kuna siku for the first time waliwekewa pavements forum iliwaka moto balaa
Kumbe hizi kilometers of pavements zilizotapakaa Tanzania for years we take them for granted
View attachment 2440242


KUNDUSTANHawa wakundustan ni waongo sn, yn ukiwasikiliza bila kufanya research yako wanakupeleka chaka, na unakuta wenzake wanaona kabisa mwenzao anaongopa lkn wanakaa kmy










Alafu Karen ndiyo mji wao wa kitajiri etiHuku Karen hakuna tofauti na Mabwepande.












Where the Rich hide in Dar es Salaam. Mbezi Beach. 🤣 🤣Huku Karen hakuna tofauti na Mabwepande.
This is not Karen you fool. Utaumbuliwa mara ngapi ndio uache kupost picha za uongo.
Kwani mimi ndio nimepiga hiyo picture?Tupe jina la barabara tukuumbue tu sahii na Google Streetview.
Karen kwenye ubora wake! 😂😂😂😂😂This is not Karen you fool. Utaumbuliwa mara ngapi ndio uache kupost picha za uongo.
Barabara ya Makongo ina lami mwanzo mwisho,vumbi ni historia sahvToka main Road sasa ingia ndani uone Makongo kwenyewe.![]()
![]()
![]()
View attachment 2440052
Meanwhile main road ya Karen hii hapa
View attachment 2440053
Sasa hiyo red arrow ndio jina ya barabara?Kwani mimi ndio nimepiga hiyo picture?
Haya niumbue 😂😂😂😂
View attachment 2440278View attachment 2440279
Enyewe mwenye alisema uko Google unatafuta vipicha alisema ukweli. 🤣 🤣Kwani mimi ndio nimepiga hiyo picture?
Haya niumbue 😂😂😂😂
View attachment 2440278View attachment 2440279
Barabara za vumbi mostly hazina majina 😂😂😂😂Sasa hiyo red arrow ndio jina ya barabara?
What about the rest of the neighborhood? What about the access roads?Barabara ya Makongo ina lami mwanzo mwisho,vumbi ni historia sahvView attachment 2440284
😂😂😂😂😂 Google earth nayo ni 'pictures'?Enyewe mwenye alisema uko Google unatafuta vipicha alisema ukweli. 🤣 🤣
Excuse galore!Barabara za vumbi mostly hazina majina 😂😂😂😂
Kila Mkoa una hospitali yake ya rufaa, kila wilaya inahospitali,Mwendo MdundoWapi ile thread ya hospitali Geza Ulole ?![]()
![]()
Kakamega county hospital (public) under construction.
By 2030 there's be at least 1 of these in all 47 counties.
Construction cost: $70 million USD.
Kakamega is the 10th richest county in Kenya
View attachment 2440065View attachment 2440066
Mbona pale Mbezi beach zote ni za vumbi na zina majina? 🤣 🤣 🤣Barabara za vumbi mostly hazina majina 😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂 Nacheka tu wanavyohangaika kubadili uongo uwe ukweli 🤣🤣🤣🤣🤣Hawa wakundustan ni waongo sn, yn ukiwasikiliza bila kufanya research yako wanakupeleka chaka, na unakuta wenzake wanaona kabisa mwenzao anaongopa lkn wanakaa kmy![]()