game over
JF-Expert Member
- Jan 1, 2016
- 11,053
- 26,331
🤣🤣🤣🤣🤣
Kama hizo ndio Estate za maana Bongo then bado mko na shida Sana.🤣Bitterness as usual![]()
Mzigo huu hapa, 34% done and counting, unaonaje Bwana Machozi?😅😅
Watu was sockets bado mko area? Since you are suprised by charging sockets ebu mniambie Hawa nap wanacharge aje?😂😂🤣
View attachment 2429395View attachment 2429397
Usilie basi plz😆😆😆
Narudia hii ,
Kindly see how Dodoma residential areas look like ..
No city in Kunyastan comes close to Dodoma,
And imagine this is just a beginning
Unajua shida ya wakenya wengi hawana uelewa wao hufkiri tanzania ni ile ya 90s 🤣🤣 kumbe hawakujua nchi imejengwa kimya kimya sana tena kwa muda mfupi sanaHalafu hata haturingi, haya mambo yangekua kunyaland mbona Africa ingekoma kuijua Kenya 😅😅😅
Kwa uchache kila nyumba hapo ni million 100 imelazwa hapo na watu wapo cool tu.
Kila pasengers na socket yake kwenye third class duu hakuna kushare socket au naomba unipitishie charger yangu kwako kama 1st class ya kikunya.
They lack exposure ndio shida yao kubwa halafu wanalishwa sana matango pori na media zao.Unajua shida ya wakenya wengi hawana uelewa wao hufkiri tanzania ni ile ya 90skumbe hawakujua nchi imejengwa kimya kimya sana tena kwa muda mfupi sana
Kuna mkenya kaniuliza ndege gani hio nikamjibu ni train hio sio ndege akashangaa sana 😆😆 alaf nikamjibu hio third class mbonaKila pasengers na socket yake kwenye third class duu hakuna kushare socket au naomba unipitishie charger yangu kwako kama 1st class ya kikunya.
Haswaa lakini siku hzi media zao zinawafungua macho sana 🤣🤣 na washaamka kiakili ndio maana unaona wanakua na hasira kali muda woteThey lack exposure ndio shida yao kubwa halafu wanalishwa sana matango pori na media zao.
Mkuu iyumbu hiyo naijua kama kwapa langu, miaka mi5 nyuma kote hapo palikua pori yalikua majengo ya UDOM tu ila saivi ni balaa, na kwa nyuma kidogo ndio huu unyama umepita, ni dual carriageway barabara yote juu kitu cha bullet 😅😅Unajua shida ya wakenya wengi hawana uelewa wao hufkiri tanzania ni ile ya 90s 🤣🤣 kumbe hawakujua nchi imejengwa kimya kimya sana tena kwa muda mfupi sana
Dodoma 5 yrs to come hakuna mji utakua wakisasa ukanda wote huu east africa na hioo wanalijua mbona 😆😆Mkuu iyumbu hiyo naijua kama kwapa langu, miaka mi5 nyuma kote hapo palikua pori yalikua majengo ya UDOM tu ila saivi ni balaa, na kwa nyuma kidogo ndio huu unyama umepita, ni dual carriageway barabara yote juu kitu cha bullet 😅😅
View attachment 2429630
Dodoma itakuja kuwa ya moto sanaNarudia hii ,
Kindly see how Dodoma residential areas look like ..
No city in Kunyastan comes close to Dodoma,
And imagine this is just a beginning