REAL Comrade Kipepe
JF-Expert Member
- Jul 7, 2020
- 3,239
- 10,926
Ukweli bila chenga.

Your bus companies hata hazifiki 50.We would be having 1000 companies with this status in Tanzania.
Mwingine huyu hapa
🤣🤣 Kwa aina ya buses zenyu 🤣🤣🤣 hizo kampuni za hivyo zinaweza fika 1000 bila shaka hapa BongoYour bus companies hata hazifiki 50.
Uyo tunae hadi 2030...na sijui atakuja na sera gani 2025Hawezi kuendelea na haya yote yanayotokea Tanzania, mgao wa umeme, maji ni kwaajili ya kupigwa chini CCM 2025. Kikwete ndio ametuletea huu ujinga, chaguo la magufuli lilikua Dr Hussein Mwinyi
Ukweli bila chenga.
Apa ni miritini Mombasa...Where Tanzanian buses and trucks are made.
View attachment 2413688View attachment 2413689View attachment 2413690View attachment 2413692View attachment 2413693
Uyo tunae hadi 2030...na sijui atakuja na sera gani 2025
Acha tuone itakavyokuaAtapelekea chaos akiendelea. Watu wanavumilia ila huwa wana threshold
Mkuu ushawahi kuchunga ng'ombe?Je umewahi kuona mahali ng'ombe wanapokunywa maji Kila siku? Wanaweza wasinywe kumaliza mtu lakini huharibu utiririkaje wa maji na kutengeneza stipness na kama mtu unamaji machache basi jua Kasi yake itapungua.Muhimu kuwa na ufugaji au kilimo kisichoharibu ecolojia au uoto wa asili.Kwaiyo Ng’ombe wamemaliza maji yote? What a lame excuse…
Unajua huwa naamini kuna vilaza wengi sana wanaongoza hii nchi ?
Yeah.Apa ni miritini Mombasa...
Uyo tunae hadi 2030...na sijui atakuja na sera gani 2025
Anatolewa na nani?Sidhani! 2025 lazima atolewe, kashindwa sana.
Ndio hii Mombasa iliyotemeshwa Bungo na Mwanza?Apa ni miritini Mombasa...
Alisema Watanzania hawana mtaji wa kuwekeza kwenye vitalu vya gesi labda kwenye ice creamProf Muhongo ni tatizo ana fikra za kitumwa bado! Yaani hata alipokuwa waziri alizuia wachimbaji wadogo nakumbuka hata vitalu wazawa walikataliwa mpaka Marehemu Mengi akamjia juu kabla ya JPM kumtumbua!



Na ana dharau na kiburi sana..Ni mpigaji na ana tamaa sn, JPM alimstukia akampiga chini, hana faida yoyote kwa taifa.
Kwn vanga ni mjini, we mwehu snaHii inafanana kabisa na ile kampuni ya basi zinazoenda kijijini kwetu![]()