Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Siku za Moi kuna Dada mwanahabari wa Kikenya mrembo sana anaitwa Catherine Kasavuli - enzi hizo yeye ndio alikuwa dada wa kutamani nchini. Sasa kuna rumours kwamba Moi ndiye alikuwa anatafuna. Halafu same time mwanamziki wa Kikongo Kanda Bongoman naye ndiye alikuwa amehit sana ukanda huu. The same time wasanii wengi wa Congo waliishi na kutolea nyimbo Kenya maanake Congo ilikuwa unstable. Sasa huyo Kanda Bongoman akanyemelea huyo Catherine Kasavuli naye akaanza kutafuna. Moi hakufurahishwa na hilo hadi akaban nyimbo za Kongo kuchezwa Kenya na wanamziki wa Congo kuperform Kenya. Huu wimbo, Nakei Nairobi Mbilia Bel aliutoa kusifia Moi ndio Moi akakubali tena wanamziki wa Congo kuishi na kuperform Kenya.
hii kitu hii.! hii........ hiii..!🦵🏽
 
Wangari Maathai Road
Screenshot_20221111-082214.jpg
 
a great great shame!🙊 for Putin..

zaporizhia, kherson, crimea, donbass to be fully reclaimed back by ukraine courtesy of the mighty nato.....
💣💣💣....................💥


Nato has proved to Russia, that Russia is totaly nothing before the hands of the mighty West!💥

even if they were to go the nuclear way... nato would incapacitated russia in an instant!💣💥
such that russia will not get another second chance to throw the 2nd, 3rd or 4th etc warhead..

nb:
russia may only succeed in throwing the 1st nuclear warhead... but not the 2nd or 3rd or 4th etc. russia will cease to exist in less than 30mins!
tht one.. get rest assured



cc: ichoboy01
Screenshot_20221111-112855_Phoenix.jpg
Screenshot_20221111-113019_Phoenix.jpg
 
Siku za Moi kuna Dada mwanahabari wa Kikenya mrembo sana anaitwa Catherine Kasavuli - enzi hizo yeye ndio alikuwa dada wa kutamani nchini. Sasa kuna rumours kwamba Moi ndiye alikuwa anatafuna. Halafu same time mwanamziki wa Kikongo Kanda Bongoman naye ndiye alikuwa amehit sana ukanda huu. The same time wasanii wengi wa Congo waliishi na kutolea nyimbo Kenya maanake Congo ilikuwa unstable. Sasa huyo Kanda Bongoman akanyemelea huyo Catherine Kasavuli naye akaanza kutafuna. Moi hakufurahishwa na hilo hadi akaban nyimbo za Kongo kuchezwa Kenya na wanamziki wa Congo kuperform Kenya. Huu wimbo, Nakei Nairobi Mbilia Bel aliutoa kusifia Moi ndio Moi akakubali tena wanamziki wa Congo kuishi na kuperform Kenya.
Hako kanyimbo unaweza kuskiliza safari inaanza mpaka unafika na usistuke[emoji28]
 
Streets of Downtown Nairobae,
Mji mchafu utadhani zizi la nguruwe , wakunya ni wachafu sana, wazee wa kunyakunya kila pahala na kwenye plastic bags, a reason Cholera kills thousands in Kunyaland. na vile you don’t poo with water.. stinking asses all over [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
View attachment 2412978
View attachment 2412979
View attachment 2412980
View attachment 2412981
View attachment 2412982
View attachment 2412983
View attachment 2412984
This is hell indeed.
 
Streets of Downtown Nairobae,
Mji mchafu utadhani zizi la nguruwe , wakunya ni wachafu sana, wazee wa kunyakunya kila pahala na kwenye plastic bags, a reason Cholera kills thousands in Kunyaland. na vile you don’t poo with water.. stinking asses all over [emoji2961][emoji2961][emoji2961]
View attachment 2412978
View attachment 2412979
View attachment 2412980
View attachment 2412981
View attachment 2412982
View attachment 2412983
View attachment 2412984
This is hell indeed.
 
80% of buses operating in Tanzania are from Kenya.

View attachment 2413085
Huyo tajiri aje Kenya kununua bus atakuwa kichaa kama wewe mnuka mavi. Matajiri wa Tanzania huwa wananunua buses kuanzia 100+ kwa mkupuo, viwanda vyenu vya ku assemble ni vidogovidogo, kwa mwezi utakuta kina assemble bus moja au mbili, so ili buses 100+ zitimie itahitajika miaka si chini ya mitano au sita, kwa huku Tz kila mwaka tajiri anaondoa bus mbovu anazileta Kenya na mengine yanaingia vijijini ndani ndani huko.

So huyo tajiri atakuwa mwehu kiasi gani eti anunue bus 100+ Kenya kwa miaka mitano au aagize bus direct from manufacturer in less than 6months gari zimefika. And mind you, tajiri huyo huyo anazitoa bus mbovu kwenye mzunguko anazileta Kenya na zingine anazipeleka vijijini ndani ndani mana huku Tz kwa route za mikoani hazihitajiki bus mbovu, watu hawapandi.
 
Na tangu lini akawa expert ya masuala ya uchumi?anazingua sana yule babu

Hata huko kwenye eneo lake kama mtaalamu wa Geology amezingua sana akiwa waziri, wakati akiwa wizara ya nishati na madini kina Lugemarila wakakwapua bilioni 320+ wakati yeye akichekacheka tu,
Yale maeneo ambayo wachimbaji wadogo wa dhahabu walitakiwa kuchimba yaliuzwa juu kwa juu kwa makampuni ya kikorea na kichina, Wachimbaji wadogo wa dhahabu (wazawa) walikuwa kama wapo Kuzimu wakati wa JK na huyu mwamba akiwa waziri,
Thanks JPM, sasa Chunya tunachimba dhahabu kwa amani walau japo mambo yameanza kuharibika tena.
 
Hata huko kwenye eneo lake kama mtaalamu wa Geology amezingua sana akiwa waziri, wakati akiwa wizara ya nishati na madini kina Lugemarila wakakwapua bilioni 320+ wakati yeye akichekacheka tu,
Yale maeneo ambayo wachimbaji wadogo wa dhahabu walitakiwa kuchimba yaliuzwa juu kwa juu kwa makampuni ya kikorea na kichina, Wachimbaji wadogo wa dhahabu (wazawa) walikuwa kama wapo Kuzimu wakati wa JK na huyu mwamba akiwa waziri,
Thanks JPM, sasa Chunya tunachimba dhahabu kwa amani walau japo mambo yameanza kuharibika tena.
Akafundishe geology watoto wa vyuo vikuu icho ndio anachoweza
 
Hata huko kwenye eneo lake kama mtaalamu wa Geology amezingua sana akiwa waziri, wakati akiwa wizara ya nishati na madini kina Lugemarila wakakwapua bilioni 320+ wakati yeye akichekacheka tu,
Yale maeneo ambayo wachimbaji wadogo wa dhahabu walitakiwa kuchimba yaliuzwa juu kwa juu kwa makampuni ya kikorea na kichina, Wachimbaji wadogo wa dhahabu (wazawa) walikuwa kama wapo Kuzimu wakati wa JK na huyu mwamba akiwa waziri,
Thanks JPM, sasa Chunya tunachimba dhahabu kwa amani walau japo mambo yameanza kuharibika tena.
Huyo profesa Muhongo ni muongo kama jina lake, pia ana tamaa sn, JPM aliwahi kutilia shaka uwezo wake na alimponda wazi wazi siku ile anamuambia ajiuzulu. Ni wa hovyo sn, tulikuwa hatujui kama ni wahovyo mpk JPM alipokuja kutugutusha, na mpk leo uyo jamaa hampendi Magufuli.
 
Back
Top Bottom