Kama hili lina ukweli basi Uhuru Kenyatta ni noma sana, kwa sasa anachekea tumboni tu

omtiti

JF-Expert Member
Jun 19, 2019
1,022
1,590
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa.

Ndio maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest), walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi, jamaa akawaelewa, ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize.

Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii na kadhalika.

Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili, wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao na tumeingia mkenge.

Watanzania tuna safari sana kujitoa kwenye uchuuzi.
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa .

Ndio Maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest) ,walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi ,jamaa akawaelewa ,ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize
,
Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii nakadhalika.
Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili ,wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao ,na tumeingia mkenge,
Watanzania tunasafari sana kujitoa kwenye uchuuzi
Sukuma gang bado upo kwenye denial kwamba SSH ndio raia number moja?
 
Hakuna wafanyabiashara wa mahindi wa Kenya wenye mashamba Tanzania, kama wapo ni wachache Sana.

Halafu nusu ya hayo Mahindi yanatoka Zambia..kwa hiyo unataka kusema wanalima in hadi Zambia.?
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa .

Ndio Maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest) ,walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi ,jamaa akawaelewa ,ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize
,
Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii nakadhalika.
Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili ,wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao ,na tumeingia mkenge,
Watanzania tunasafari sana kujitoa kwenye uchuuzi
Inasemekana....wacha uzwazwa wewe...fuatilia bas hata tarfa za habar ujue ukwel wa hayo mahind au huwaoni wanaolalamika hapo holili ni watu gan?
 
HADITHI NJOO UONGO NJOO......


MATAGA ch.upi zimewabana hata kutembea hamuwezi.

Na mama kasema leo Zito Kabwe anakuwa Waziri wa Fedha, Tundu Lisu mwanasheria mkuu.

Mtarudi kwenu Burundi kwa mguu.
 
Wivu utawaua misukule wa Magufuli.
Mlizoea siasa za chuki na visa, mama Samia kasema hapana. Hataki kugombana na majirani zake au washindani wake, hatakj uadui bali anataka urafiki.
Mama anawapelekea moto hatari.
Legacy ya marehemu Magufuli inafutwa kwa kasi ya ajabu.
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa .

Ndio Maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest) ,walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi ,jamaa akawaelewa ,ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize
,
Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii nakadhalika.
Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili ,wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao ,na tumeingia mkenge,
Watanzania tunasafari sana kujitoa kwenye uchuuzi
Ivi mwendazake alikuwa anawapiga miti nn, maana kafa lkn bado mnamtukuza ke.nge nyinyi
 
Inasemekana mazao ambayo yalizuiliwa mpakani yasiingie Kenya yalikuwa karibu asilimia 80%ni ya wakenya wenyewe, inasemekana wamejipenyeza nchini wakilima katika mikoa ambayo ni maarufu kwa kilimo nchini kupitia wazawa .

Ndio Maana hayati Rais Magufuli alilijua hilo akawa anawacheki tu wanavyoruka na kukanyagana.

Baada ya wafanyabiashara hao wa Kenya mabenki kuwabana warudishe marejesho (interest) ,walimfuata Uhuru wakamueleza hali halisi ,jamaa akawaelewa ,ikasukwa deal ya kujinasua kwa kukurupuka kwao.

Bahati mbaya mwendazake alifariki.

Uhuru Kenyatta baada ya mazishi akawahi kumsogeza mama Samia haraka kwa mwaliko wayamalize
,
Cha ajabu huyu kikuyu akapitisha na mambo yao mengi yenye tija kwa taifa lao kama kwenye utalii nakadhalika.
Kifupi sisi ndio looser kwenye sakata hili ,wakenya wametengeneza mgogoro makusudi ili watimize matakwa yao ,na tumeingia mkenge,
Watanzania tunasafari sana kujitoa kwenye uchuuzi
Si kweli sisi wa huku kaskazini tunauza mahindi Kenya na pale Arusha kuna soko la mahindi na wanunuzi wengi ni Wakenya na pia Watanzania wapo,baada ya hiyo jam bei mahindi ilishuka vibaya.
 
Bahati mbaya watanzania hawajuzuiwa kulima na kuuza Kenya Sawa babu, so watz kama mnajua kuna wakenya wanalima tz, basi nyie limeni Mara tatu yao na mkauze Kenya Sawa.
 
Back
Top Bottom