chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Aliukutaje akauachaje?Usisahau pia aliharibu uchumi wa Tz
Aliukutaje akauachaje?Usisahau pia aliharibu uchumi wa Tz
Propaganda, ukweli huu hapa
By end of this year. KCB is going to eclipse Exim Bank from top 5 biggest banks in Tanzania by asset value. KCB assets sh 1.1T, Exim sh 1.2T.
Mbona unalazimisha? Just accept that Kenya's mobile transaction is five times Tanzanian GDP😂😂😂Propaganda, ukweli huu hapa View attachment 2400683
Hizi pesa mnazotupa hovyo bila kupata faida yoyote kwanini msingeziwekeza huku? Kwanini mabank yenu yasione hii hali kama opportunity, wawekeze kwenye irrigation schemes na plantations kubwa ili kuondoa hii hali?
Kwa mwezi roughly transaction yenu ni dollars billion 5 means kwa mwaka ni 60 billion, hiyo dollar billion 250 umechomoa matakoni kwako? 😂😂😂.Mbona unalazimisha? Just accept that Kenya's mobile transaction is five times Tanzanian GDP😂😂😂
View attachment 2400685
Tuko 2022 na wewe umekazana na screenshots za 2020. Akili Yako inakusaidia kweli?😂😂😂Kwa mwezi roughly transaction yenu ni dollars billion 5 means kwa mwaka ni 60 billion, hiyo dollar billion 250 umechomoa matakoni kwako? 😂😂😂.
View attachment 2400688
After tax ni big losses everyday everywhereBila kupata faida? This is the profit KCB is raking from Tanzania. Hii ni profit ya 3 months pekee (July, August & September)😂😂😂
View attachment 2400686
Siku hizi Tanzania imekuwa South Sudan?😂😂😂 Kitu obvious ni kuwa huko Tanzania tunalima pesa ipasavyo🤣😂
Hii ya juzi ni 5$ billion as well 😂😂😂Tuko 2022 na wewe umekazana na screenshots za 2020. Akili Yako inakusaidia kweli?😂😂😂
Hii ya juzi ni 5$ billion as well 😂😂😂
Na ndio highest
Leta monthly report ikiwa imezidi 5$ billion2021 ni juzi?🤣🤣😂😂
Baki hapo ukizubaa. Yani transaction ya Kenya ni 5 times Tanzanian GDP 😂😂🤣Leta monthly report ikiwa imezidi 5$ billion
From hot air yes, kwa ground kichapo kama kawa
Ilizungusha hela sana ya malipo ya state.Nimejiuliza crdb imekuaje na mtaji kuzidi nmb nani anaweza nipa brief
Even here in Africa we are like 5 major ethnolinguistic groups the Bantu, Cushites, Khoisan, nilotes and afro asiatic in the indian ocean. We share alot in common between us. We share similar languages e.g. the Bantus have very similar languages and it is not uncommon to hear Bantu similar words across tribes as far as South Africa from Kenya. We should capitalize on this instead of forcing people to adhere to one principle which will never work in the near future or never work entirely.My focus is on principle, not conduct.., Japan, China, Singapore n Korea, with Arab Countries are totally different in outlook, language and culture (conduct), but in principle they are one and the same kama unanielewa. USA is unique as is the representation of the whole world in one place, the original Americans are red Indians, the rest are immigrants from all over the world, whites are Europeans from Italy, France, UK Russia, pia in US utapata Jews, Arabs, Africans, Chinese, Indians, Latinos etc and they subject themselves to American ideology of freedom (the land of the free and brave), u can do anything u love there without being harassed and become anything u want so long as it is within their laws, it has diverse people from all over the world, historically some were running from political persecutions and the like to start new life in America. They ended up building industries and businesses, thus prosperity, but ukichunguza kuna issues bado, we have enclaves of groups, US is a special case. Russia nimefika bro, those people are one in principle, they believe in their political ideology strongly wako kama tu Germans if u have interacted with them, and they are strongly Orthodox Christians, u cannot put them in the same sentence na Africans.
Africa needs to be awakened, if Africa could have embraced Nyerere's ideology of African nationalism and Kwame Nkrumah's ideology which stipulated as the "ideology of a New Africa, independent and absolutely free from imperialism, organized on a continental scale, founded upon the conception of one and united Africa, drawing its strength from modern science and technology and from the traditional African belief that the free development of each is the condition for the free development of all" By now tungekua kama China or even far ahead.
Tanzania nayo kwa hela Kenya tunateleza ndani. Tutanunua mahindi na Michele toka kwao 😂😂. Kenya has a serious rice deficit by the waySiku hizi Tanzania imekuwa South Sudan?😂😂😂 Kitu obvious ni kuwa huko Tanzania tunalima pesa ipasavyo🤣😂
View attachment 2400691
Aaawapii KCB is minting losses like no one's business in Tanzania!Bila kupata faida? This is the profit KCB is raking from Tanzania. Hii ni profit ya 3 months pekee (July, August & September)😂😂😂
View attachment 2400686
Ndi maana bando zinapanda bei tu..