Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20221028_171511.jpg
 
Mngekua mbali sana, mbona mko nyuma, hamuamini ata waafrika wenzenu, waoga nyie, hafifu, wavivu na wanyonge!, matunda yanaonekana, hautahitaji nabii yeyote akuambie, jiangalie mlivyo tokea Dar hadi vijijini..., na uchunguze pia nje ya nchi yenu ushawishi wenu pia ulivyo.., usijitekenye, be realistic stop defending what is not there, sio kila wakati unajibu kishabiki, reason.
Duh mtu unamtegemea hili upate chakula halafu unamkuta mvivu . Wonders shall never end
 
Pitia hapa kilaza na ujibu, ndio ujue maana ya neno GDP.., nyie wanyonge kwetu, shabiki zako za kitoto peleka vijiweni wewe mwehu, hujui lolote mr. GDP ya $150B.., wewe ni low IQ kweli.., ata kuhusu trains ungefyata tu, kazi yako ni kujaribu kuikweza Tanzania ata kwa lile halipo ili ionekane eti iko juu ili ujisikie vizuri, yaani unajidanganya wazi wazi, ila haunaga valid point, uko zero
The true GDP ya Tz ni $150b hata ulie hutobadili ukweli huo, tunajenga miradi mikubwa sn kwa ss.

Tunajenga Dodoma city ya kisasa.

Tunajenga bwawa kubwa la umeme.

Tunajenga reli ndefu ya SGR kuliko zote Afrika.

Tunajenga mameli makubwa kwenye maziwa yetu yote.

Tunajenga BRT system ndefu na ya kisasa.

Tunajenga viwanja bora vya ndege kila mkoa.

Tunajenga bandari mikoa yote yenye ziwa na kuimarisha zilizopo.

Tunajenga hospitali zenye hadhi na kuweka vifaa tiba bora ambazo zimekuwa msaada kwa Tz na nchi jirani ikiwemo Kenya na maskini wenzake ukanda.

Tunajenga bus terminals za kisasa ambazo kwa za EA ni standard za Airpot kwao.

Tunajenga masoko makubwa na kukarabati yaliyopo.

Tunajenga maghala makubwa ya chakula mpk nchi jirani ikiwemo Kenya na tumeanza kuwaletea chakula.

Yani tunajenga kila kitu kwa ss japo tunachukua mikopo lkn pia tunatumia na fedha za ndani unlike you kila mradi lazima aid au mkopo vihusike, sisi co level yenu kwa ss na msifosi tufanane.
 
Huko kenya wanataka kuweka tozo kwenye miamala ya simu.. ila wameambiwa kwa lugha ngumu sana, lugha rahis ni kuwa watakuwa wanakatwa tozo za (uzalendo) za miamala ya simu kama bongo 😅



Sisi tozo zetu ni bila hizo pin za tra
 
Kumbe huu mradi wa Dege Eco village ndio maana Magufuli aliupiga chini kumbe una madudu mengi aiseee daahhhhhhh

Miradi ya Kikwete hiyo na wahuni wenzake wakian Ramadhan Dau.
 
The true GDP ya Tz ni $150b hata ulie hutobadili ukweli huo, tunajenga miradi mikubwa sn kwa ss.

Tunajenga Dodoma city ya kisasa.

Tunajenga bwawa kubwa la umeme.

Tunajenga reli ndefu ya SGR kuliko zote Afrika.

Tunajenga mameli makubwa kwenye maziwa yetu yote.

Tunajenga BRT system ndefu na ya kisasa.

Tunajenga viwanja bora vya ndege kila mkoa.

Tunajenga bandari mikoa yote yenye ziwa na kuimarisha zilizopo.

Tunajenga hospitali zenye hadhi na kuweka vifaa tiba bora ambazo zimekuwa msaada kwa Tz na nchi jirani ikiwemo Kenya na maskini wenzake ukanda.

Tunajenga bus terminals za kisasa ambazo kwa za EA ni standard za Airpot kwao.

Tunajenga masoko makubwa na kukarabati yaliyopo.

Tunajenga maghala makubwa ya chakula mpk nchi jirani ikiwemo Kenya na tumeanza kuwaletea chakula.

Yani tunajenga kila kitu kwa ss japo tunachukua mikopo lkn pia tunatumia na fedha za ndani unlike you kila mradi lazima aid au mkopo vihusike, sisi co level yenu kwa ss na msifosi tufanane.
Uganda wanazo ata zingine zaidi ya TZ na ni $40B.., enyewe wewe ni mtu bladfwakin kabisaaa.., niletee mapicha tu, angle tofauti tofauti hapo tutaelewana🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😂
 
Back
Top Bottom