Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yaani ni Dar tu? 😂 😂 😂 miaka ngapi? alafu unalazimisha kujifananisha na Kenya, cheza na akina Malawi na Msumbiji ukingoja mkamilishe hizo interchanges 5 za hovyo😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Unaelewa hata unachokiongea,.? nikitaja hizo modern infrastructure unafkiri Nairobi inaweza kaa na DAR mahala pamoja.? 2 overwater Cable stayed bridges, three phases of BRT, 2km of SGR viaduct in the city center, a good number of BRT terminals, kama ni hivyo vi interchange mixer flyovers tunavyo.. sasa nani ni zaidi mzee.? 🤣🤣🤣.. u will never have BRT and those Cable stayed bridges labda kwa miaka 50 ijayo. Alafu upo hapa kujipiga kelele 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Unafanana na ule wenu?nyamaza
Kubali tu Mkorea ameteleza ndani bila Kinga 😂😂😂
jamiiforums743894344-jpeg.2398522
JamiiForums549409220.jpeg

mtungi wa ccm😂😂
JamiiForums-1547405404.jpeg

Kenya tulishajikubali
Screenshot_20221026-172908.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums743894344.jpeg
    JamiiForums743894344.jpeg
    201.1 KB · Views: 22
Kama haujazunguka mjini wala usitoe idadi,nimeshangaa tu kibaha highway ina overpass 3 hadi sahv,pale magomeni kama unaenda kigogo round about kuna overpass ,sa sijui maeneo mengine

Kilwa Road wanajenga flyover 2,Nyerere Road flyover pale chang'ombe ,Mjini kama hujapita muda mrefu utashangaa
Nilisahau ile overpass ya magomeni mzee wangu
 
Imekuuma sana unatafuta pakutokea.., ngojeni miaka 100 mbele kisha mje tujadiliane., la sivyo koma kule kwenu 😂 😂 😂 😂 😂
Myaka mia 🤣🤣🤣 itakua history watoto wenu wakisoma kwamba mlikua in same development level na Tz. Kwa tunavyoongea now you are nothing to us
 
Unaelewa hata unachokiongea,.? nikitaja hizo modern infrastructure unafkiri Nairobi inaweza kaa na DAR mahala pamoja.? 2 overwater Cable stayed bridges, three phases of BRT, 2km of SGR viaduct in the city center, a good number of BRT terminals, kama ni hivyo vi interchange mixer flyovers tunavyo.. sasa nani ni zaidi mzee.? 🤣🤣🤣.. u will never have BRT and those Cable stayed bridges labda kwa miaka 50 ijayo. Alafu upo hapa kujipiga kelele 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hekaya za abunuasi hizi.., najua how Dar looks and those projects na flyovers uchwara.., "bichi kidimbwi na vilima", ringa na cable stayed bridge pekee, ngojeni miaka 25 mbele kisha mje, hizi bluh bluh zako pelekea wa Malawi kuleee sio mimi, Dar naweza ianika tokea kushoto hadi mwisho wa kulia na kaskazini hadi kusini 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Taifa la city moja, ufukara watu wengi GDP ndogo., upuuzi mtupu😂😂😂😂😂😂😂
 
Myaka mia 🤣🤣🤣 itakua history watoto wenu wakisoma kwamba mlikua in same development level na Tz. Kwa tunavyoongea now you are nothing to us
unasukumwa na wivu na blind patriotism, yaani maoni yako tu.., uliza wageni wasio wakenya ama watanzania utapata jibu., ujinga zako ni zako tu dogo, unatia huruma bana., utakufa mnyonge kwa hizi fikra uchwara 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Wewe ni tahira haswaaa unailinganisha kichwa cha treni vs behewa 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kwa hiyo mkiletewa vichwa, hizi behewa zitabadilika kua emu ama? 😂😂😂 wacha kutumia kichwa kama roundabout ya upepo. Kubali mkorea ameteleza bila kinga
 
Hekaya za abunuasi hizi.., najua how Dar looks and those projects na flyovers uchwara.., "bichi kidimbwi na vilima", ringa na cable stayed bridge pekee, ngojeni miaka 25 mbele kisha mje, hizi bluh bluh zako pelekea wa Malawi kuleee sio mimi, Dar naweza ianika tokea kushoto hadi mwisho wa kulia na kaskazini hadi kusini 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂
Taifa la city moja, ufukara watu wengi GDP ndogo., upuuzi mtupu😂😂😂😂😂😂😂
When was your last time ulikuja DAR ..? 🤣🤣🤣.. heb anika hizo flyover na interchange za DSM tuone.. kitu mtataja hapa ni jidipii tu .. ground ipo hivi.. tuko na km za SGR mara nne ya mlizonazo. Mnaota kuwa na BRT while we have three phases of them. Ktu chenye u ar proud of ni flyovers in which tunazopia. Nyinyi si chochote kwetu Mzee 🤣🤣🤣🤣.. tuko na kila kitu kuwazidi nyie endeleeni kupost vi apartment ndio comfort zone yenu .. sio miradi ya kimkakati mzee ..
 
Back
Top Bottom