Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Behewa za ghorofa ziko kwenye meli ndio za kwanza kuwa delivered in November
🤣🤣😂🤣 Hii story ya behewa kuwa kwa meli tumeanza kusikia October last year. Kwani nyinyi hamchoki kungoja?🤣🤣
 
Znz is heaven 💥

hotelverde_znz-20221026-0002.jpg
hotelverde_znz-20221026-0001.jpg

Another one 👇
zanzibardrones-20221025-0010.jpg
zanzibardrones-20221025-0009.jpg
another one 👇
zanzibardrones-20221025-0006.jpg
 
Hii nchi iuzwe kila mtu apewe cut yake.🤣🤣🤣

View attachment 2398207
Sometimes wawache kujifanya wako na hela na kumbe hawana..Mungu anaeza pitia hio nchi akadhani amewasort kumbe bado..Kama hawana wakubali tu hawana mungu awasaidie..To make it worse waga wanawacheka watu wa turkana wakiteseka..Now God is purnishing them...SGR sai wameletewa Mitungi za 1960...More to come..
 
You say that money can not buy happiness.? 🤣🤣 Come to Zanzibar 👇


Come to Zanzibar beib

With money life is wonderful

Zanzibar inapaa kwa Kasi ya ajabu sana.. hao jirani zetu wa north muwape taarifa kuwa maendeleo yapo kila kona ya Tz
 
Hiki ni kiswahili gani hawa ndugu zako wanaongea?

Halafu hili ndio kabila tajiri Africa 😂😂😂😂😂


sasa kwani nyie danganyikans munaongeaga kiswahili tuu🤕ebu kwani hujui anaweza kuwa mtu hajui kuongea fluent lugha zengine lakini humshindi lugha ya kwao😃WWE koroga maswahili tu mswahili
wwe👈
 
Back
Top Bottom