Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kenya Sana miji michache sana.
Ukitoa Nairobi na Mombasa kwa mbaaali zinafuata Kisumu, eldoret, kiasi flani na Nakuru.

Baada ya hapo ni changanyikeni tu, Kisii, Narok, Moyale, Mwisho watakutajia mpaka Migori na Naivasha

Lakini Tanzania ni Raha Uchumi wetu kila Mahali

Dar Es salaam
Mwanza/Arusha/Tanga/Mbeya/Moshi/Dodoma

Morogoro/Iringa/Kigoma

Musoma/Shinyanga/Mtwara/Singida/Tabora/Kahama/Songea/Bukoba

Babati/Geita/Bariadi/Songwe/Lindi

Without Mentioning Zanzibar
Tanga,Dodoma,Mbeya...etc. Those are villages not cities
 
Kenya Sana miji michache sana.
Ukitoa Nairobi na Mombasa kwa mbaaali zinafuata Kisumu, eldoret, kiasi flani na Nakuru.

Baada ya hapo ni changanyikeni tu, Kisii, Narok, Moyale, Mwisho watakutajia mpaka Migori na Naivasha

Lakini Tanzania ni Raha Uchumi wetu kila Mahali

Dar Es salaam
Mwanza/Arusha/Tanga/Mbeya/Moshi/Dodoma

Morogoro/Iringa/Kigoma

Musoma/Shinyanga/Mtwara/Singida/Tabora/Kahama/Songea/Bukoba

Babati/Geita/Bariadi/Songwe/Lindi

Without Mentioning Zanzibar


pwahahaha. .......ei.hata kama ni ushabiki wa kijinga......let's be a bit normal
 
Tanga,Dodoma,Mbeya...etc. Those are villages not cities


It's funny this guy doesn't know mt Kenya region towns......ziko wapi Thika Nyeri Meru Embu Muranga Nyeri Nanyuki and Isiolo which are equally big towns.

Then in lower eastern we have Kitui and Machakos which are big towns too.

In rift valley we have Naivasha Nakuru Eldoret Kericho Kapsabet Bomet Narok etc
which are very big towns too.

Nyanza has kisumu migori Homabay Kisii nyamira Kehancha Siaya

western province has Kakamega Vihiga kitale Bungoma and Chavakali.....

Sijasahau pwani kuna Lamu Malindi Mombasa etc
 
Miji inayovutia Tz
Dsm, Mwanza,Arusha,Morogoro, Moshi,Tanga,Mbeya,Dodoma ..
Inayonivutia mm Dsm, Arusha Mwanza ,Moshi, Moro
 
A birds view of Eldoret city capturing the Uganda highway
33b978d5444a97a908df79c7e4b79dc5.jpg
 
Arusha naweza ishi. ....the rest I don't think so.maybe Dar hapo upanga ni sawa
Wakenya wengi hupapenda sinza sijui ni kwann...utasikia wakisema sinza super sana kwa vijana pako organized na kuna starehe sana...ni karibu na cbd na nyumba ni bei ya kati
 
Wakenya wengi hupapenda sinza sijui ni kwann...utasikia wakisema sinza super sana kwa vijana pako organized na kuna starehe sana...ni karibu na cbd na nyumba ni bei ya kati


Arusha inakaa fiti na weather poa sana halafu is very close to Nairobi. ..ni kuvuka tu Kajiado county and cross over na ushafika.........nitaambia boss anipee kazi ya ku market accounting system software huko hata for a month ndio nipate fursa ya kutalii na expense ya kampuni. ..hehehe
 
Arusha inakaa fiti na weather poa sana halafu is very close to Nairobi. ..ni kuvuka tu Kajiado county and cross over na ushafika.........nitaambia boss anipee kazi ya ku market accounting system software huko hata for a month ndio nipate fursa ya kutalii na expense ya kampuni. ..hehehe
Haha karibu sana..
 
Wakenya wengi hupapenda sinza sijui ni kwann...utasikia wakisema sinza super sana kwa vijana pako organized na kuna starehe sana...ni karibu na cbd na nyumba ni bei ya kati
early to mid 2000s,sinza ilikuwa ni moja ya suburb maarufu sana jijini dar.

umaarufu wake ulichangiwa na celebrities wengi wa wakati huo,ku-rent nyumba maeneo yale.

pili,umaarufu wa sinza ulichangiwa na fresh university graduate...walipopata ajira zao za kwanza,wengi wao walienda ku-rent house sinza.

hali hii ikapelekea sinza ionekane ni kama beverly hill estate ya dar,ambapo kila kijana alikuwa ana ndoto ya kwenda kuishi.

sababu nyingine iliyopelekea sinza kuwa maarufu ni uwingi wa bar/lounge na nightclubs za kwenda kula bata.

ila kwa sasa sinza inapata upinzani mkubwa na eneo la tabata.

kwa nairobi,eneo ambalo vijana wengi hipenda kuishi ni buruburu.ni suburb poa sana.
 
early to mid 2000s,sinza ilikuwa ni moja ya suburb maarufu sana jijini dar.

umaarufu wake ulichangiwa na celebrities wengi wa wakati huo,ku-rent nyumba maeneo yale.

pili,umaarufu wa sinza ulichangiwa na fresh university graduate...walipopata ajira zao za kwanza,wengi wao walienda ku-rent house sinza.

hali hii ikapelekea sinza ionekane ni kama beverly hill estate ya dar,ambapo kila kijana alikuwa ana ndoto ya kwenda kuishi.

sababu nyingine iliyopelekea sinza kuwa maarufu ni uwingi wa bar/lounge na nightclubs za kwenda kula bata.

ila kwa sasa sinza inapata upinzani mkubwa na eneo la tabata.

kwa nairobi,eneo ambalo vijana wengi hipenda kuishi ni buruburu.ni suburb poa sana.
Na jee wewe huishi wapi kadoda
 
Back
Top Bottom