Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,217
- 6,570
Kawe - Dar
sawa nimekuelewa buda.dont make this a racial thing bro...😀😀...umesema mwandishi mkenya na ndio maana nikakuletea picha ile ili niku kosoe...ama kweli, ukitaka kujua mambo yalivyo nyumbani bila shaka ni vizuri kumwuliza mtu wa nje kwa sababu ni mgeni tu ndiye atakayeweza kubaini harufu mbaya iliyo sebuleni mwako...wewe mwenyewe huwezi ukainusa...
Sifa za nature mko sawa. But ikikuja development, infrastructure and stuff Kenya is pretty far ahead of you guys.sawa nimekuelewa buda.
by the way,hata tanzania haipo nyuma katika kusifiwa na wazungu na nadhani inaweza ikawa inaongoza kwa kusifiwa zaidi EA.
huko twitter kuna mamia kwa maelfu ya tweets za wazungu zinazo sifia maeneo mbalimbali ya tanzania.
hizi ni baadhi tu kuhusu serengeti.
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
nikisema nizilete zote hapa,thread haitotosha labda tufungue thread maalum .
That green is amazingMbuyuni- Dsm
![]()
Mashindano ya CHAD vp😀😀😀😀😀Sifa za nature mko sawa. But ikikuja development, infrastructure and stuff Kenya is pretty far ahead of you guys.
hahahahaha... Buda inaonekana roho inakuuma sana kugundua kuwa tz huwa inasifiwa sana na watu wa mataifa ya magharibi.Sifa za nature mko sawa. But ikikuja development, infrastructure and stuff Kenya is pretty far ahead of you guys.
hawawezi kukwambia kuhusu hiyo issue...tayari washakula za uso...jana niliwawekea screenshot wakawa wanaipita kama hawaioni.Mashindano ya CHAD vp😀😀😀😀😀

Kenya Sana miji michache sana.Uzi mtamu sana huu mbona wadau mmeukaushia kama vip tuanzishe mwingine wa Costal cto Costal. Mombasani // TangaKunani
Kenya Sana miji michache sana.
Ukitoa Nairobi na Mombasa kwa mbaaali zinafuata Kisumu, eldoret, kiasi flani na Nakuru.
Baada ya hapo ni changanyikeni tu, Kisii, Narok, Moyale, Mwisho watakutajia mpaka Migori na Naivasha
Lakini Tanzania ni Raha Uchumi wetu kila Mahali
Dar Es salaam
Mwanza/Arusha/Tanga/Mbeya/Moshi/Dodoma
Morogoro/Iringa/Kigoma
Musoma/Shinyanga/Mtwara/Tabora/Kahama/Songea/Bukoba
Babati/Geita/Bariadi/Songwe/Lindi
Without Mentioning Zanzibar
nachekeshwa na uwongo aliotangaza hapa hadharani mtz mwenzako...naona sindano imekuingia ndani ndani.