Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So are 20 year olds owning houses in Dar?
juma jux yupo kwenye twenties na tayari anamiliki nyumba yake binafsi...so usishangae "msee".
4e9828c0b62c2caf0edf7a13e51f1fa7.jpg
56a8bccb6fd4cbf05503ceb2a195a57b.jpg
 
Tuanze na wewe kwa mfano
Mwenzio sio wa twenties kama unavodhani, Mimi nimekuwa huko Nairobi miaka Tisini mwishoni. Kibaki kaapishwa Niko town hapo kwa hiyo sio Mjadala kumiliki Nyumba tena zaidi ya Moja.

Kwanza wape Salaam Makadara na Ngong road kwa ujumla
 
That's a micro drop in the ocean.
huyo anafahimika kwasababu ni celebrity... ila nina hakika wapo wengine ambao sio celebrity, wanamiliki nyumba zao binafsi while in their twenties.
 
huyo anafahimika kwasababu ni celebrity... ila nina hakika wapo wengine ambao sio celebrity, wanamiliki nyumba zao binafsi while in their twenties.
So kwa ufupi majority of people in their twenties own houses in Dar than the minority who rent houses? Au unamaanisha nini?
 
Only the few privileged can build a house in their early twenties fresh from college
 
i have just noticed that kenyans are not used to seeing a young man own his/her own house in his/her twenties.

their mentality is that,a private house is supposed to be owned while you are approaching 40s or 50s.

well,this unnotable youngman owns his house in dar es salaam...and he is in twenties.
fa43b454f812dbeb40c07796a6f92564.jpg
2cc1377547ffb4c0d8a79d8dbb815e3e.jpg
8566ab0d636337f17cf4b925b86fd441.jpg
 
construction of private houses in dar es salaam is causing the city to transform
very fast hence stimulate the growth and sustainability of construction sector.

apart from tall buildings,malls and apartments,new private houses are being built almost everyday while the older ones are renovated.

NB:
we use cement bricks not stones like kenya (many houses in nairobi are built with stone bricks).

photos.
hapa kazi tu..tupo site "msee".
adb006fdac5d7c7c9ca8d8d7054a5933.jpg
7153b47330b952d01288d2e02d064a16.jpg
5549b95caece15fbc5b67543848e9d45.jpg
b5c8a6bd2707030bd0de813c0849b079.jpg
c19645e20a13c8a4c27bd21ccb409562.jpg
60a612e4b7ddb4c220be2f79bb87c816.jpg
a487bdaec78396e58f0d84944de5bc3c.jpg
e6282422746213f88cd9c89d4d6514a2.jpg
80eec720664a3664eaa697d071be2b7f.jpg
962994a5c5faa80e17ce22b25db7c167.jpg
07b21f1cfd9e2347bbe2633026c71b3d.jpg

Hee!! Babu,huna haya kupost vitu via ajabu hivyo eti makaazi ya dar? huku kwetu hayo ni makaazi ya kule vijijini wala huwezi kuyapata hapa nairobi ,lakini nikikuambia uache nitakua nakupandisha cheo ,endelea kuweka utuoneshe jinsi ulivyoshamiri katika upumbavu.
 
Only the few privileged can build a house in their early twenties fresh from college
ni sawa...lakini sio kwa tanzania.

kutokana na mifumo thabiti ya sera ya ardhi chini tz,ni rahisi kwa mtz yoyote kupata/kununua ardhi ya kujenga nyumba yake ya kuishi.

kwa tz, hata mtu wa "kazi za jua kali",akiwa serious anaweza jenga nyumba yake.

kenya ni ngumu sana kwasababu mnauhaba mkubwa wa ardhi.asilimia kubwa ya ardhi yenu inamilikiwa na wachache.

uhaba huo wa ardhi unasababisha ardhi iliyopo sokoni kuuzwa kwa bei ghali kiasi cha kushindwa kutoa unafuu kwa vijana waliomaliza college au waliojiajiri kununua ardhi na kujenga nyumba zao binafsi.
 
Hee!! Babu,huna haya kupost vitu via ajabu hivyo eti makaazi ya dar? huku kwetu hayo ni makaazi ya kule vijijini wala huwezi kuyapata hapa nairobi ,lakini nikikuambia uache nitakua nakupandisha cheo ,endelea kuweka utuoneshe jinsi ulivyoshamiri katika upumbavu.
binti wa mombasani,unalia nini?...punguza hasira.[emoji23] [emoji24]
 
Back
Top Bottom