Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Pamoja na usomi wako lakini bado umeonyesha ni namna gani akili yako ilivyo finyu, kufanya kazi vijijini kunaweza kuwa potential zaidi kuliko kufanya kazi mjini, since Mtwara kuna Ardhi yenye rutuba na inasapoti kilimo chochote (ukitaka mali utazipata shambani) uzuri zaidi Mtwara ni mkoa ambao hauko mbali na DSM pia, Upande wa chato alkadhalika ni wilaya inayopakana na mikoa miwili Geita na Bukoba na pia haipo mbali sana na Mwanza, kwahyo kwa kilimo+biashara vyote vinatoa .. Halafu mzee wangu, unavyo discourage watu kufanya kazi vijijini eti kwa kigezo cha hawatotajirika huo ni utahira, since udakitari ni wito, uko pale ili kuihudumia jamii, mlisomeshwa kwa mikopo (pesa za watanzania walipa kodi) mpaka mkamaliza, leo mkiitwa mkawahudumie kuokoa maisha yao mnakataa, kwa kigezo eti ni kijijini hakuna maisha mazuri.. mtanzania wa aina yako hautufai wewe kwenye mambo ya kuwa civil servant .. huna uzalendo, wewe ni mtanzania mshenzi kabisa wewe
Nani kakwambia tulisomeshwa? mkopo inatoka kwa watu fulani tu sio kila mtu anapewa kijana...Nasimama na point yangu najua we unaangalia upande wa huduma tu
 
Hii ni hospital ya wilaya ya Kakonko-Kigoma
Hapa serikali imesolve tatizo moja ,tatizo lililobaki ni watumishi...ukiangalia kwa makini hapa hakuna nyumba za watumishi...na zikijemgwa hazitozidi 3 tu...Humu ndani kuna wanasiasa mue mnakumbuka na nyumba za watumishi ile ni motisha ya muhimu sana,Mkiweza kupunguza matumizi yadio ya lazima kama kununua zile V8 zenu itakua msaada
20221016_105845.jpg
20221016_105849.jpg
 
Wewe mpaka dakika hii umelifanyia nini hili taifa.? na utalifanyia nini hili taifa ikiwa uko na mtazamo wa kimaandazi kiasi hicho.. .?
Ilo ni swali ujiulize wewe umelifanyia nn taifa lako.Mimi sina haja ya kujibu swali kama hilo
 
Mimi sio kwamba sikutaka ijengwe,Nimetoa views zangu upande wa maslahi ya watoa huduma ukilinganisha na maeneo kama mwanza mjini ama Dar
Wewe ungesema madaktari wanafaa wawekewe miundombinu mizuri ya kazi na makazi mazuri huko vijijini hapo sawa ila sio zaidi ya hapo , ukishaanza kuwa na mawazo ya maslai sijui madili tafuta kazi nyinginee broo
 
Wewe ungesema madaktari wanafaa wawekewe miundombinu mizuri ya kazi na makazi mazuri huko vijijini hapo sawa ila sio zaidi ya hapo , ukishaanza kuwa na mawazo ya maslai sijui madili tafuta kazi nyinginee broo
Unanipangia na cha kusema?kama haujapenda nilichokisema pole na sio lazima upende
 
Fundi Tuliaa,Watu hawategemei mishahara mjini kaka,Apo chato ukizubaa utaishia kua masikini nakwambia...Sema kwavile ni kanda ya ziwa wasukuma hua wanafunguka kidogo panaweza kua sihaba...Nawaonena huruma tu wale wa Mtwara...Waswahili wa Mtwara kule hela hawana
Jamaa utakuwa mchaga ww...
 
Hii ni hospital ya wilaya ya Kakonko-Kigoma
Hapa serikali imesolve tatizo moja ,tatizo lililobaki ni watumishi...ukiangalia kwa makini hapa hakuna nyumba za watumishi...na zikijemgwa hazitozidi 3 tu...Humu ndani kuna wanasiasa mue mnakumbuka na nyumba za watumishi ile ni motisha ya muhimu sana,Mkiweza kupunguza matumizi yadio ya lazima kama kununua zile V8 zenu itakua msaadaView attachment 2388831View attachment 2388832
Ni kweli nyumba ni muhimu sana kwa ajili ya watumishi, nimependa ilivyozungukwa na miti huku bado wamepanda miti mingine.

Hongereni sana serikali kwa kuleta huduma ya afya karibu na wananchi, though Kakonko iko mkoa wa Kigoma mbali na Dar lakini unaweza kuona jinsi ambavyo maendeleo yasogezwa karibu na wananchi.
 
Afadhali,Nmeona comment mtu kaandika kigoma inaenda kua kama ulaya watu walikata tamaa nn
Hujawahi kusikia Kigoma ndio mwisho wa reli? Hata maendeleo wanasema walikuwa wamesahaulika wakati ni mkoa wenye rutuba nzuri kwa kilimo na watu wake ni wachapakazi wazuri tu. Upo karibu na Burundi na DRC so biashara itafanyika wakiwakamilishia bandari na kuwaunganishia barabara za mikoa kwa kiwango cha lami.
 
Back
Top Bottom