Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Barabara pekee inayoonekana zaidi ya kilometers 300 uhuru aliyoijenga tena hii kaipokea kutoka kwa kibaki, nyingine zinaonekana tu akipanda 'stejini' na makabrasha lakini kwa ground zero 😂😂😂😂
Come back when Tanzanian total paved roads hit 10,000km
 
Hiki kisa kinafanana na cha mwalimu alivyosalimiwa kwa gloves na malkia naye akampa fimbo. Alipomuuliza kwanini unanisalimia kwa kunipa fimbo badala ya mkono Mwalimu JK akajibu kwetu ni heshima sana ukisalimiwa kwa fimbo badala ya kupewa mkono. Alimletea dharau na ubaguzi naye akambagua vile vile.

Hawa wazee walikuwa na hekima sana. Viongozi wetu wa siku hizi wanadhalilishwa sana na hawalitambui hilo.
 
Does this make Tanzanian total paved roads to be more than 10,000km?😂
It makes this considered tarmacked 😅😅😅

FVserThXsAAqXXo.jpeg
 
Aiseh nimesahau na kawawa ni ndefu kweli
1.Kawawa road

minors
2 Lumumba road joining morogoro and bibititi
3 .Sinza/Shekilango from Bamaga to Shekilamgo
4. Azikiwe strech posta ya zamani hadi bibititi
5.Karume road inayojoin kawawa na kariakoo
6.
mmeziacha barabara mpya za Barack Obama, Kenyatta, Toure drive😎
 
Kenyans a.k.a paper tiger, you claim to have a greater number of paved roads yet hata barabara za kuunganisha na taifa jirani hakuna 🤣🤣🤣. So sad
All the countries neighboring Kenya are connected by good roads.
 
Soja bwana uko sawa kweli?
Alafu nafurahi ukiniita bwana, naona kdg kdg unaanza kuelewa somo, ukijaa 18 nakuweka trust me, sina undugu na wakunya mm[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom