Kwani mizigo yote ya Kenya inapita Northern Corridor?Kazi rahisi, mizigo yoote ambayo inapita bandari zote za Tanzania kwa ujumla hazifiki nusu ya mizigo yanayopitia Mombasa, sasa zitakuaje na uzito in tonnage kuliko za Notrthern corridor.., ujinga pia ni laana!..,
Moshi Cooperative University is one the oldest tertiary institution in the region!Are these universities ama Secondary Schools?
Do you have anything else to say?Kwani mizigo yote ya Kenya inapita Northern Corridor?
Wacha porojo weka hapa trips,mlikwepa kwa sababu mlijua mumekalia ukuni wa mwanaume..
Zaidi ya nusu ya Mizogo ya Mombasa port inaishia ndani ya Kenya ni obvious kwamba hizo trip 700 Ndio inaenda Nchi jirani sasa Kwa Tanzania 70% ya Mizigo inaenda Nje tena Southern Corridor..
Wacha maneno wewe mbususu ya kibera weka hapa no.of trips.
Unakurupuka kama mkojo,hivi unaelewa mjadala ulioko mezani wewe?
This where they teach carpentry and livestock herding?Moshi Cooperative University is one the oldest tertiary institution in the region!
Ndicho nilichokiona kwa huyu bwana ana visasi sana. Si ajabu akamletea zengwe hata Uhuru. Wasipokuwa makini atawavuruga na kumgeuka boss wake (Rutto).Ndo kama hivi?
hahaha😆😆 hii hapa moja wepo River Road University CampusDegrees zinapatikana hadi River Road.
Vitu vingi vinachelewa sana kuanza. Mipango isipotekelezwa na kukaa muda mrefu pending inapelekea mianya ya upigaji mwishowe inakufa kabisa pasipo kutekelezeka.Tatizo mda wa kuanza kutenda,
Serikali inachelewesha sana mambo
Hao european ni wapuuzi tu ,hiki kipindi angekuwepo magu na palamagamba wangepata nondo vizuri
Aisee! Wameanza tena kuna nini hukoKazi ipo..
M7 naamin yuko kidete.. Sa100 sasa
Hawa wazungu ni wajinga sana.. somen hii joint motion yao.
Samia na wazir wenu Makamba (aliepinga ujenzi wa Nyerere HPP) sidhan kama wataenda kinyume na matakwa ya hawa wazungu
![]()
JOINT MOTION FOR A RESOLUTION on violations of human rights in Uganda and Tanzania linked to investments in fossil fuels projects | RC-B9-0409/2022 | European Parliament
JOINT MOTION FOR A RESOLUTION pursuant to Rules 144(5) and 132(4) of the Rules of Procedure replacing the following motions: B9-0409/2022 (S&D) B9-0410/2022 (Renew) B9-0412/2022 (PPE) on violations of human rights in Uganda and Tanzania linked to investments in fossil fuels projects...www.europarl.europa.eu


...and 'Animal Husbandry' 😆😆This where they teach carpentry and livestock herding?
Swali lakijinga kabisa...sec schools zinafundisha ngazi ya shahada ?jingaAre these universities ama Secondary Schools?
Hadi 2027 ...ila ni kipande kirefu kutoka Tengeru hadi holili ni parefu...ukizingatia kuna nyumba lazima zivunjwe zilizojengwa ndani ya hufadhi ya barabara...ila patanoga sana man I can't wait to hit the roadItakua moja ya barabara bora sana ukanda huu hasa Japan wenyewe wakijenga ila tatizo la Japan wanajenga taratibu sana
View attachment 2357778
Kazi ipo..
M7 naamin yuko kidete.. Sa100 sasa
Hawa wazungu ni wajinga sana.. somen hii joint motion yao.
Samia na wazir wenu Makamba (aliepinga ujenzi wa Nyerere HPP) sidhan kama wataenda kinyume na matakwa ya hawa wazungu
![]()
JOINT MOTION FOR A RESOLUTION on violations of human rights in Uganda and Tanzania linked to investments in fossil fuels projects | RC-B9-0409/2022 | European Parliament
JOINT MOTION FOR A RESOLUTION pursuant to Rules 144(5) and 132(4) of the Rules of Procedure replacing the following motions: B9-0409/2022 (S&D) B9-0410/2022 (Renew) B9-0412/2022 (PPE) on violations of human rights in Uganda and Tanzania linked to investments in fossil fuels projects...www.europarl.europa.eu