Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Zikowapi.? 🤣🤣🤣
Pita hii thread alafu unyamaze, umejoin juzijuzi na unajifanya mjuaji kuliko wenye ulipata😂

 
Okay me nakupa now barabara zenye zipo underway in DOM alone.. na wewe ufanye hivyo kutoka mji wowote wa Kenya Alaf tuone ni wapi kuna barabara mingi za lami. 🤣🤣.. upo Tayari.?
Mbona DOM pekee? Mimi nataka Tanzania nzima bro. 🤣🤣
 
Okay me nakupa now barabara zenye zipo underway in DOM alone.. na wewe ufanye hivyo kutoka mji wowote wa Kenya Alaf tuone ni wapi kuna barabara mingi za lami. 🤣🤣.. upo Tayari.?
I expect you to ask us the 3,000km of roads built in the next two years, so let me just leave this one here for you for your reference. You can crosscheck from as well if you want😂😂.

All roads that were under construction as at Dec 2020, some are complete some are still ongoing.

Screenshot (50) (1).png
 
Pita hii thread alafu unyamaze, umejoin juzijuzi na unajifanya mjuaji kuliko wenye ulipata😂

Sikiliza we mjinga mimi Moja kati ya watz wanaijua Bongo vizur mno, bcoz I've been to 15/31 regions of Tz .. nimepita karibu mokoa yote .. nimekuja hapa kutoa elimu (nini kilichopo Bongo kwa ground) una la kujitetea leta hapa na kama hauna kaa kushoto
 
Amechoka kuwa back bencher sasa hii ni ntoke vipi nipate huruma ya mama!
Sahihi kabisa amejiona kasahaulika anatafuta huruma apate ka uteuzi ni aibu kwa kiongozi aliyewahi kuwa Waziri alalamike kama mwananchi wa kawaida wakati yeye akiwa na uongozi hakuwahi kufanya jambo la maana la kukumbukwa. Atulie tu.
 
I expect you to ask us the 3,000km of roads built in the next two years, so let me just leave this one here for you for your reference. You can crosscheck from as well if you want😂😂.

All roads that were under construction as at Dec 2020, some are complete some are still ongoing.

View attachment 2355377
So it's DOM vs the whole country right.?
 
Sikiliza we mjinga mimi Moja kati ya watz wanaijua Bongo vizur mno, bcoz I've been to 15/31 regions of Tz .. nimepita karibu mokoa yote .. nimekuja hapa kutoa elimu (nini kilichopo Bongo kwa ground) una la kujitetea leta hapa na kama hauna kaa kushoto
Si ulisema unataka kuona picha za barabara zetu? Mbona tena ukiletewa thread ya hizo barabara unaanza kulia tena?🤣🤣😂

NairobiWalker come take your friend, jamaa anataka kulia🤣🤣😂
 
Sikiliza we mjinga mimi Moja kati ya watz wanaijua Bongo vizur mno, bcoz I've been to 15/31 regions of Tz .. nimepita karibu mokoa yote .. nimekuja hapa kutoa elimu (nini kilichopo Bongo kwa ground) una la kujitetea leta hapa na kama hauna kaa kushoto
Umeshindwa game yako unataka kulia bradhee?🤣🤣
 
Have been in both places, Nairobi is more advance than Dar es salaam, Dar is beautiful and exotic than Nairobi and Tanzania is better than Kenya
Nakuunga mkono ila hapo kwenye more advanced nadhani co kweli cz Dar bado ni more advanced than ka Nairobi, Dar has some more advanced infrastructures that you can't see in East and Central Africa but there's no even a single infrastructure that ka Nairobi has and Dar hasn't.
 
Anaonesha flyover, hawa wanuka mavi ni wasenge sn, anaambiwa aweke roads za county moja moja na urefu wake na cc tuweke zetu za mikoa na urefu wake yeye analeta flyover
Have you washed your uniform? Is your torch fully charged? Have you checked if your whistle is in good condition? What about your rungu? Is it strong enough to hit a thief? Don't forget to buy KIWI ya kubrush kiatu.
 
Bhana we. chongchung alipost barabara karibu zote Tz ni juzi kati tu hapa, hadi leo hatujapata majibu kutoka kenya.. majibu yako wapi .?
Ndiyo nilitaka kusema hapa kwamba kuna siku chongchung alianzisha battle ya road kwa kuweka kila barabara humu na urefu wake ila hawa wanuka mavi wakawa wamekausha wanaogopa, au kama wanataka turudie kutaja road moja moja za kila mkoa na kila county.
 
Nakuunga mkono ila hapo kwenye more advanced nadhani co kweli cz Dar bado ni more advanced than ka Nairobi, Dar has some more advanced infrastructures that you can't see in East and Central Africa but there's no even a single infrastructure that ka Nairobi has and Dar hasn't.
IMG_20210712_220639.jpg
 
Back
Top Bottom