Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakuu nilikuwa naangalia jinsi Ruto anaingia uwanjani aisee roads alizopita wakuu ni vumbi kinoma

Alafu hawa wanuka mavi cku hz naona wameamua kutumia kiswahili mwanzo mwisho na wala hawatumii tena lugha za makabila, wameamua kutuiga ili walete umoja wa kitaifa, hapo nawapongeza cz kizuri huigwa.
 
Wakuu nilikuwa naangalia jinsi Ruto anaingia uwanjani aisee roads alizopita wakuu ni vumbi kinoma

Alafu hawa wanuka mavi cku hz naona wameamua kutumia kiswahili mwanzo mwisho na wala hawatumii tena lugha za makabila, wameamua kutuiga ili walete umoja wa kitaifa, hapo nawapongeza cz kizuri huigwa.
Your obsession with Kenya has made you watch Ruto's swearing in from first minute to last🤣🤣😂🤣.
 
Have you washed your uniform? Is your torch fully charged? Have you checked if your whistle is in good condition? What about you rungu? Is it strong enough to hit a thief? Don't forget to buy KIWI ya kubrush kiatu.
🤣 🤣 🤣 🤣
 
Your obsession with Kenya has made you to watch Ruto's swearing in from first minute to last.
TBC wanaonesha cz our president is there, na mpk sahizi wanaonesha nasikia sebuleni hapo tv imeachwa tu hakuna mtu ngoja nikaizime
 
TBC wanaonesha cz our president is there, na mpk sahizi wanaonesha nasikia sebuleni hapo tv imeachwa tu hakuna mtu ngoja nikaizime
Wewe nyamaza ushajibetray😂😂

images (2).jpeg
 
Sioni hashtag za kushobokea rais wao mpya wakati kila rais mpya wa Tanzania akiapishwa huwa wanashoboka.
1. #WhatWouldMagufuliDo
2. #KissforSamia
 
Back
Top Bottom