🤣🤣🤣 Nani kakwambia DAR ni hapo chini tu?? Kwanza hiyo picha ni ya Zamani sana umeikota wapi, fanya ufike DAR ung'aze machoUkubwa wa Dar na upana ni hapa👇na majengo kwa wingi ni haya👇 kwa ajili ya population kubwa wala hakuna lingine Mwanza vile vile na kwingineko 👇 👇
View attachment 2352377
View attachment 2352378
View attachment 2352380
View attachment 2352381
View attachment 2352382
Sehemu ndogo sana ndio iko developed, town area Mombasa is bigger, tofauti ni gorofa ndefu tu chache.., huu ukweli ni mchungu!😂😂😂😂😂😂😂😂😂,
View attachment 2352376
Nmeondoa tu filter usinichukie please








Alafu kwa mbele ndio panakaa hivi, japo hapa nimeacha na filter yake, kama unavyoona ni nyumba za mabati mtindo mmoja, c kwa ubaya lakini





We soja wacha kuconfuse ukweli na hasira. 😂😂😂Punguza hasira basi![]()
Kwahiyo sasa ili watu waelewe vzr inabidi tu sum up pictures, hiyo yako yenye filters na hizi nyingine, am sorry kama nmekuudhi







Polepole tu kitaeleweka. 🤣🤣🤣 Beautification in progress.
Mambo tumefanya kitambo nyie mnafanya leo, kumbe mnakubali kwamba ka Nairobi hakako beautyPolepole tu kitaeleweka.Beautification in progress.
Unakazana kutafuta picha za kitambo za Nairobi ju unajua Dar CBD haina any progress.
View attachment 2352782








Finally umeanza kupata akili, zoea kupost za kwenu.Mambo tumefanya kitambo nyie mnafanya leo, kumbe mnakubali kwamba ka Nairobi hakako beautyView attachment 2352790View attachment 2352794View attachment 2352796View attachment 2352799View attachment 2352800View attachment 2352801
umbali mrefu akitafuta dust bin kuliko kutupa taka hovyo.Hapo unaona cranes ngapi







Ziko ngapi apo









Picha za kitambo Mzee pombe akiwa hai. Construction boom yenu iliisha kama kamisi kwa soko. 🤣🤣🤣






Huwa nafurahi nikiona mkunya akiumia kama hivi, mwenzio nmempa kichapo mpk kajiuzuru kuja JFPicha za kitambo Mzee pombe akiwa hai. Construction boom yenu iliisha kama kamisi kwa soko.![]()




















