Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Timu za Tanzania bara 🔥
20220910_182234.jpg
 
Ukubwa wa Dar na upana ni hapa👇na majengo kwa wingi ni haya👇 kwa ajili ya population kubwa wala hakuna lingine Mwanza vile vile na kwingineko 👇 👇
View attachment 2352377
View attachment 2352378
View attachment 2352380
View attachment 2352381
View attachment 2352382
Sehemu ndogo sana ndio iko developed, town area Mombasa is bigger, tofauti ni gorofa ndefu tu chache.., huu ukweli ni mchungu!😂😂😂😂😂😂😂😂😂,
View attachment 2352376
🤣🤣🤣 Nani kakwambia DAR ni hapo chini tu?? Kwanza hiyo picha ni ya Zamani sana umeikota wapi, fanya ufike DAR ung'aze macho
 
Kinachonifurahisha wakazi wa Dar ni ustaarabu wa kuzaliwa, yn watu ni wasafi naturally, mtu yuko radhi atembee na ganda la pipi umbali mrefu akitafuta dust bin kuliko kutupa taka hovyo.
Screenshot_20220910-185436.jpg
Screenshot_20220910-185328.jpg
 
Back
Top Bottom