Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

20220616_200339.jpg
20220522_132625.jpg
20220825_210006.jpg
 
Mombasa mnatafuta vipicha vya kitambo, same with Nairobi, mbona mmechoka hivi? Mnajaribu kujikomboa kwa propaganda mjidanganye na kujiliwaza, poleni kwa maumivu, mtanyooka kwa lazima, hadi raha😜😜🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,
Mombasa yenyewe ni mji wa kale sasa zitafutwe pictures nyingine tofauti na za zamani wakati hilo jalala ni la zamani? Mombasa ni kama Lamu na Malindi nothing new nothing modern, slums kushoto kulia na ufukara uliopea 😂😂😂😂
 
Mombasa iko na makazi yenye ya watu wakawaida yenye Dar ni ndoto kwa mtu kama wewe.., yaani mmeshindwa kuonyesha Dar, mnajua ilivyo, unazunguka visehemi duni picha za zamani kisa tumewabana.., kwa wastani Mombasa ni nafuu sana kuliko Dar is slum.., kama unabisha weka hapa hizo nyumba za watu wa kawaida.., nitag ukioata jibu kutoka Dar ama Tanzania yote., najua Dar yoote ilivyo, usisumbuke, haiwezekani leo hii upate jibu😜😜, aibu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
If wishes were horses.... 😂😂😂😂
 
Latest pictures za 2022
Count the number of buildings with greeen construction scaffolding. Nairobi construction boom is on steroids.
View attachment 2352827
Wewe huwa na arguments za kipumbavu sn, kwahiyo hvyo vijumba vitatu ndio upige kelele humu, au nikuwekee picha uone kariakoo pale kuna ghorofa ngapi zinajengwa kwa ss, wacha argument cheap namna hii.
 
Kwa mbele kasema KQ is the most successful airline in Africa, is that true? 😂😂😂
I wonder what kind of teachers you have in Tanzania. Jamaa amesema ati KQ is great sasa sijui hiyo most successful in Africa umetoa wapi.
 
Back
Top Bottom