Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Yeah me ni mdigo mzee wangunilidhani wee mmaa toka chugga.. tena tanga!?🤔
wee tena mdigo!
Yeah me ni mdigo mzee wangunilidhani wee mmaa toka chugga.. tena tanga!?🤔
wee tena mdigo!
Kwani unajua kuliko serikali yenu?😂😂😂 Tanzania nzima mnajenga TU nyumba 1,500 kwa mwaka wakati Nairobi pekee inajenga nyumba 16,000.Kwamba mlijenga 16 times kwa Tz .? 🤣🤣 We unajua Dar alone kila mwaka zinajengwa nyumba ngapi.? Au Unazungumzia kujenga nini yani.?
Sasa mtapost nini wakati kila siku ni TU hizi gorofa Tatu za kawaida??Tukiwa hatupost jamaa zetu huwa wanajisahau View attachment 2351870
Waste of space
aa wapi.!.. wee mmaa toka A-Town mtu wangu 🤜🏽🤛🏽Yeah me ni mdigo mzee wangu
Waste of space
Mnazaliana kama kumbikumbi, kanchi kadogo nusu ya Tz lkn tumewazidi watu milioni 5 pekee, mnapigana mpini mpk kwenye recreational parkskulingana na censor ya hivi majuzi kule tanzania, kumbe tulikua sahihi. kweli idadi yao ni 64M, ilhali kenya ni 54M, na uganda 46M
tanzaniaView attachment 2352005
kenyaView attachment 2352000
ugandaView attachment 2352004







Kiuhalisia kama sisi tupo mil 64 nyie ilibidi muwe mil 32. Sasa ukichukua mil 54 ambayo ndiyo namba mliyoko (makadirio ya chini) ukitoa mil 32 unapata tofauti ya mil 22, kwa hesabu hizo ni kwamba mmetuzidi watu mil 22 na kiuhalisia hamko mil 54, kwa jinsi mnavyozaana mpo zaidi ya mil 60 ndio maana chakula hakiwatoshi licha ya misaada mnayopata pamoja na sisi kuwapa chakula cha bei nafuu sawa na burekulingana na censor ya hivi majuzi kule tanzania, kumbe tulikua sahihi. kweli idadi yao ni 64M, ilhali kenya ni 54M, na uganda 46M
tanzaniaView attachment 2352005
kenyaView attachment 2352000
ugandaView attachment 2352004















