Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

This is the photo I like..only two towers
Tulienda onebyone tukawashinda
Then bado unajitamba ni kubwa
Apo bado kuna majengo ambayo yanamalizika uko nairobi hakuna

MNF ×2 30fl
MZIZIMA 35 33
PPF HQ 35
Apo sjui mnasemaje

Above 30 mna majengo matatu tu
Ambayo ni TELESPOTA, UAP na BRITAM
Akat tanzania kuna majengo5 above30,

Af dsm ina majengo mengi compared to NAI haijalishi above 7 but ndo hvyo
Ukielekea upande wa building density ndo usiseme
Na DSM majengo marefu hayako sehem moja

Nimefika sana Nairobi
Kiukwel mji wenu umejipanga ila kwa majengo DSM ni habar nyingine
 
756fbf7d1521de797e035502d2fe1b76.jpg
naona unatuwekea picha za kisumu


hiyo ni Dar yenu yenu kwa mpigo
 
Tulienda onebyone tukawashinda
Then bado unajitamba ni kubwa
Apo bado kuna majengo ambayo yanamalizika uko nairobi hakuna

MNF ×2 30fl
MZIZIMA 35 33
PPF HQ 35
Apo sjui mnasemaje

Above 30 mna majengo matatu tu
Ambayo ni TELESPOTA, UAP na BRITAM
Akat tanzania kuna majengo5 above30,

Af dsm ina majengo mengi compared to NAI haijalishi above 7 but ndo hvyo
Ukielekea upande wa building density ndo usiseme
Na DSM majengo marefu hayako sehem moja

Nimefika sana Nairobi
Kiukwel mji wenu umejipanga ila kwa majengo DSM ni habar nyingine
Wewe nawe umefufukia wapi tena baada ya Dar kupigua kipigo cha umbwa koko kwenye majengo ya over 20 na Nairobi
 
MAISHA MAGIC BONGO Is ran in Nairobi ....tz is still inferior

mnazidi kudhihirisha ni jinsi gani elimu ya kenya haijawasaidia kuwaondoa katika ujinga.

acha nijitolee kuwaelimisha.

maisha magic bongo ni tv channel(not tv station) inayopatikana katika decoder ya dstv,ikijikita katika kuonyesha local movies/content za kitanzania zilizo andaliwa kwa lugha ya kiswahili.

hiyo ni channel tu sio tv station,hivyo basi unaweza kui-manage popote pale kama una content za kutosha.la msingi ni content tu sio wapi ina-ran.

kama operational offices za dstv kwa EA zipo kenya,basi sio issue content za maisha megic bongo zikiwa zinakuwa distributed kutokea kenya.
f075a73068437adacb871614d027ccd1.jpg



kwa mfano,azam tv ina ran channel inayofanana na maisha magic bongo,
inaitwa sinema zetu channel.

imejikita katika kuonyesha local movies za kiswahili zinazotengenezwa na watanzania.
0b33c27b3dc31f6f88a30f90bed275cc.jpg
c84caf851e56a931568202bdae616534.jpg


itabidi mjielimishe kuhusu tofauti ya tv station na tv channel.
79dd5a50a047febaeb8649ea170681f2.jpg
2bed9890bb39a4928c026e33b72c983d.jpg
 
mnazidi kudhihirisha ni jinsi gani elimu ya kenya haijawasaidia kuwaondoa katika ujinga.

acha nijitolee kuwaelimisha.

maisha magic bongo ni tv channel(not tv station) inayopatikana katika decoder ya dstv,ikijikita katika kuonyesha local movies/content za kitanzania zilizo andaliwa kwa lugha ya kiswahili.

hiyo ni channel tu sio tv station,hivyo basi unaweza kui-manage popote pale kama una content za kutosha.la msingi ni content tu sio wapi ina-ran.

kama operational offices za dstv kwa EA zipo kenya,basi sio issue content za maisha megic bongo zikiwa zinakuwa distributed kutokea kenya.
f075a73068437adacb871614d027ccd1.jpg



kwa mfano,azam tv ina ran channel inayofanana na maisha magic bongo,
inaitwa sinema zetu channel.

imejikita katika kuonyesha local movies za kiswahili zinazotengenezwa na watanzania.
0b33c27b3dc31f6f88a30f90bed275cc.jpg
c84caf851e56a931568202bdae616534.jpg


itabidi mjielimishe kuhusu tofauti ya tv station na tv channel.
79dd5a50a047febaeb8649ea170681f2.jpg
2bed9890bb39a4928c026e33b72c983d.jpg


tuko na remote....shut up.We control your poor country from Nairobi. ...Hahaha
 
Tulienda onebyone tukawashinda
Then bado unajitamba ni kubwa
Apo bado kuna majengo ambayo yanamalizika uko nairobi hakuna

MNF ×2 30fl
MZIZIMA 35 33
PPF HQ 35
Apo sjui mnasemaje

Above 30 mna majengo matatu tu
Ambayo ni TELESPOTA, UAP na BRITAM
Akat tanzania kuna majengo5 above30,

Af dsm ina majengo mengi compared to NAI haijalishi above 7 but ndo hvyo
Ukielekea upande wa building density ndo usiseme
Na DSM majengo marefu hayako sehem moja

Nimefika sana Nairobi
Kiukwel mji wenu umejipanga ila kwa majengo DSM ni habar nyingine


Hapa picha tu......we are used to "nimefika Nairobi " crew by osmosis
 
Back
Top Bottom