7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Kama ndogo vile au wemezingatia mahitaji ya watu wakaona ni machache.Dar na dom
Mradi ni billion 466
Asilimia 50 ya mradi dar, 20% Dom.
Iliobaki ni the rest of Tz itashare
Kama ndogo vile au wemezingatia mahitaji ya watu wakaona ni machache.Dar na dom
Mradi ni billion 466
Asilimia 50 ya mradi dar, 20% Dom.
Iliobaki ni the rest of Tz itashare
Kabisa.Kama ilivyofanyika magomeni
Kutakuwa kuna uhitaji wa nyumba kwa research walizozifanya na wana vigezo vyao.Kagera? seriously? Wanaenda kupoteza fedha! Mbona isiwe Mbeya au Arusha?
Aaawapi uwanja wa ndege wa Bukoba upo underutilized mwaka wa 10 huu pamoja na majigambo ya jamaa wa kule! Yaani hizo nyumba zingejengwa hata Moshi au Iringa towns! Another Chato project!Kutakuwa kuna uhitaji wa nyumba kwa research walizozifanya na wana vigezo vyao.
Halafu hawawategemei wenyeji ambao wako huko kuna watu wako nje ya mkoa wao wanahitaji nyumba za kununua na kupangisha na pesa wanayo.
Kumbuka nyumba zao zote za NHC zilizopo Bukoba mjini zote zina wapangaji (zimejaa),hivyo wameona kuna uhitaji.
Arusha na Mbeya na Kilimanjaro bila shaka ziko kwenye mpango huo.Tusubiri tutapewa majibu.
Ni nchi nyingi zinatrendy, na trendy ya Tanzania inakua driven by media sio influencers
Ngoja tuone mkuu.Aaawapi uwanja wa ndege wa Bukoba upo underutilized mwaka wa 10 huu pamoja na majigambo ya jamaa wa kule! Yaani hizo nyumba zingejengwa hata Moshi au Iringa towns! Another Chato project!
Continue dreaming about Kenya 👏👏Ni nchi nyingi zinatrendy, na trendy ya Tanzania inakua driven by media sio influencers
View attachment 2346450
Nani wa dream sasa? Media zinareport matukio yanayoendelea Kenya kama yanavyoripotiwa kwenye mataifa mengine lakini hakuna domestic topics from regular Tanzanians about Kenya ndio maana baada ya masaa matatu huoni hiyo trendy anymore, halafu twitter kuna Watanzania kiduchu sana, Ukiwa trendy on tweets kwa Tanzania upo trendy kwa only 20% of Tanzania's online community, wengi wapo instagram, fb, tiktokContinue dreaming about Kenya 👏👏
Really 😂😂Nani wa dream sasa? Media zinareport matukio yanayoendelea Kenya kama yanavyoripotiwa kwenye mataifa mengine lakini hakuna domestic topics from regular Tanzanians about Kenya ndio maana baada ya masaa matatu huoni hiyo trendy anymore, halafu twitter kuna Watanzania kiduchu sana, Ukiwa trendy on tweets kwa Tanzania upo trendy kwa only 20% of Tanzania's online community, wengi wapo instagram, fb, tiktok
Really 😂😂Nani wa dream sasa? Media zinareport matukio yanayoendelea Kenya kama yanavyoripotiwa kwenye mataifa mengine lakini hakuna domestic topics from regular Tanzanians about Kenya ndio maana baada ya masaa matatu huoni hiyo trendy anymore, halafu twitter kuna Watanzania kiduchu sana, Ukiwa trendy on tweets kwa Tanzania upo trendy kwa only 20% of Tanzania's online community, wengi wapo instagram, fb, tiktok